Kitu gani kinanisumbua?

Kitu gani kinanisumbua?

mh rbt

Member
Joined
May 17, 2014
Posts
85
Reaction score
61
Hello everybody,

Mimi ni kijana mwenye miaka 20+....
Nimekua member wa JF kwa muda sasa nikisoma nyuzi katika majukwaa mbali mbali, lakini nilivyo pitia hili jukwaa kwa muda wa week chache nimesukumwa sana kuandika kitu nikasaidika toka kwa wadau wa hapa kwani, kwa asilimia kubwa naona watu wanatoa ushauri wa kujenga sana wenye msaada kwa hawahitaji japokua watani hawakosi pia.
Bila kupoteza muda nijielekeze moja kwa moja kwenye nia iliyo nileta kwenu.

Tangu nianze safari yangu ya mahusiano mpaka sasa nimesha vunja mahusiano na wanawake wanne mpaka sasa. Mwanzoni mwa mahusiano huwa naishi na mwanamke kwa furaha na kumpenda sana na moyo wangu huwa unaamini kuwa huenda akawa wangu wa maisha lakini nikisha kaa nae kwa miezi kadhaa au mwaka najikuta napoteza hamasa juu yake.

Yaani naanza kumuona wa kawaida, huwa najichukia jinsi kiwango changu cha kumjali kinavyo shuka pia naanza kuwa busy sana na ratiba zangu binafsi.

Yaani huwa nakaa chini najitahidi kurudisha upendo wa nliokua nao awali lakini najikuta nafanya kwa siku chache tu halafu hali inakua ile ile.
Mfano naweza nisimtafute hewani hata siku tatu mfululizo na yeye asipo nitafuta ndio imetoka.
Naacha kuwanae karibu kabisa na nikiulizwa kwanini nimebadilika huwa naomba msamaha lakini maswali yakizidi nakasirika na tunakosa maelewano mwishoe tunavunja mahusiano.

Hivi karibuni nimeachwa na mdada nilie pendana nae sana na kudumu nae kwa muda wa miaka miwili na nusu sababu ikiwa ni hihi ya kutokujali na kumpuuzia kabisa.

Hali hii naiogopa najitahidi niwe consistent na ku_mantain kiwango cha juu cha mpenzi lakini nashindwa kabisa.
Sasa sjui chaguo langu bado au ni nini hasa yaani dah i can't explain. ..

Nadhani hakuna mwanamke anaweza kukubali kuvumilia mabadiliko yangu nogopa kuishi bachelor siku za usoni.
Hivi ni kipi shida hasa! kwa mtu anaeweza kunijuza shida yangu na utatuzi wake atakua amenisaidia sana.... maana hii kuachana achana inachosha na mtu unaloose confidence na maamuzi yako mwenyew. Pia inashusha reputation yako kabisa. Nawaza inakuaje wengine wanalast lakin mimi ni mtihani? Sometimes i hate myself

Natanguliza shukran zangu za dhati kwa mchango wako kwani naamini huenda ukanisaidia ku improve kwa namna moja ama nyingne.
 
Hello everybody,

Mimi ni kijana mwenye miaka 20+....
Nimekua member wa JF kwa muda sasa nikisoma nyuzi katika majukwaa mbali mbali, lakini nilivyo pitia hili jukwaa kwa muda wa week chache nimesukumwa sana kuandika kitu nikasaidika toka kwa wadau wa hapa kwani, kwa asilimia kubwa naona watu wanatoa ushauri wa kujenga sana wenye msaada kwa hawahitaji japokua watani hawakosi pia.
Bila kupoteza muda nijielekeze moja kwa moja kwenye nia iliyo nileta kwenu.

Tangu nianze safari yangu ya mahusiano mpaka sasa nimesha vunja mahusiano na wanawake wanne mpaka sasa. Mwanzoni mwa mahusiano huwa naishi na mwanamke kwa furaha na kumpenda sana na moyo wangu huwa unaamini kuwa huenda akawa wangu wa maisha lakini nikisha kaa nae kwa miezi kadhaa au mwaka najikuta napoteza hamasa juu yake.

Yaani naanza kumuona wa kawaida, huwa najichukia jinsi kiwango changu cha kumjali kinavyo shuka pia naanza kuwa busy sana na ratiba zangu binafsi.

Yaani huwa nakaa chini najitahidi kurudisha upendo wa nliokua nao awali lakini najikuta nafanya kwa siku chache tu halafu hali inakua ile ile.
Mfano naweza nisimtafute hewani hata siku tatu mfululizo na yeye asipo nitafuta ndio imetoka.
Naacha kuwanae karibu kabisa na nikiulizwa kwanini nimebadilika huwa naomba msamaha lakini maswali yakizidi nakasirika na tunakosa maelewano mwishoe tunavunja mahusiano.

Hivi karibuni nimeachwa na mdada nilie pendana nae sana na kudumu nae kwa muda wa miaka miwili na nusu sababu ikiwa ni hihi ya kutokujali na kumpuuzia kabisa.

Hali hii naiogopa najitahidi niwe consistent na ku_mantain kiwango cha juu cha mpenzi lakini nashindwa kabisa.
Sasa sjui chaguo langu bado au ni nini hasa yaani dah i can't explain. ..

Nadhani hakuna mwanamke anaweza kukubali kuvumilia mabadiliko yangu nogopa kuishi bachelor siku za usoni.
Hivi ni kipi shida hasa! kwa mtu anaeweza kunijuza shida yangu na utatuzi wake atakua amenisaidia sana....

Natanguliza shukran zangu za dhati kwa mchango wako kwani naamini huenda ukanisaidia ku improve kwa namna moja ama nyingne.
Mkuu huu uzi unanihusu 100%
 
Hehe...mkuu em dadavua kidgo, wewe inakuaje?
Wiki moja nyuma nimempoteza mtu niliyedumu nae kwa miaka 3 kwa sababu isiyoeleweka, ila tatizo langu ni kutomjali kama mwanzo hvi na ikitokea asipopiga simu ndio basi itapita hta mwezi na asiponitafuta ndio imetoka hyo, sasa hivi naona status zake za mafumbo na nahisi nimeshampoteza tayari
 
Wiki moja nyuma nimempoteza mtu niliyedumu nae kwa miaka 3 kwa sababu isiyoeleweka, ila tatizo langu ni kutomjali kama mwanzo hvi na ikitokea asipopiga simu ndio basi itapita hta mwezi na asiponitafuta ndio imetoka hyo, sasa hivi naona status zake za mafumbo na nahisi nimeshampoteza tayari
Sielew inakuaje mpaka upendo una drop...
 
Tatizo hilo... ila huwa naamini mtu sahihi hajapatikana bado
Inamaana unaishi na mtu mwaka mzma mpapendana baadae unakua kama humuelew hv.. ilikua ni tamaa muda wote huo kweli
 
Miongoni mwa faida ya kuoa mnakuwa serious na mahusiano yenu na mnapoanza kuyumba washauri wanakuwa ni wengi ambao wanauzoefu na hayo mambo wakiwemo wazazi wenu, wajomba, wazee nakadhalika. Unamahusiano na mwanamke kwa mda wa miaka miwili halafu hujamuoa kwanini asikuache, huyo mwanamke wa mwisho aliyekuacha sio nyumbu km wengine kasoma wakati. Unaonekana muoga wa ndoa acha uoga na ingia ligi kuu Premier league, viligi vya daraja ya tatu vitakupotezea mda wako.
 
Wiki moja nyuma nimempoteza mtu niliyedumu nae kwa miaka 3 kwa sababu isiyoeleweka, ila tatizo langu ni kutomjali kama mwanzo hvi na ikitokea asipopiga simu ndio basi itapita hta mwezi na asiponitafuta ndio imetoka hyo, sasa hivi naona status zake za mafumbo na nahisi nimeshampoteza tayari
Oohhh..kila status anayoweka mtu yyt ina maana au sababu yake!!

Inavyoonekana Alionyesha penz lake kwako kwa kujaribu namna anavyojua ila hukujali alichokua anafanya kwa juhud kukupa ujumbe toka ndani yake..sasa umempoteza na wewe umejipotezesha ( au pengine hakua fungu lako), and it seems nothing you can do again to her and nothing she expects from you again!! (Nimewaza tu)
 
Nakubaliana nawe kwa asilimia zote ... sasa ni kwa namna gani unaweza zuia haya yote
 
Back
Top Bottom