Kitu gani kinanisumbua?

This might be same thing here bro
 
utoto hauna tiba, nafuu yake ni kuendelea kula ukue utoto utoke.
 
Siku zote kila mtu anaamini upande wake upo sahihi
 
Mi nafikiri ni kawaida tu.
Inakuaje kwa wale wanao fanikiwa kudumu na mtu mpaka unatamani ungekua wew, maana hii kuachana achana inashusha reputation kabisa yaan unaweza anza kukosa confidence na jinsi ulivyo kabisa
 
Ni kawaida,kinachotakiwa ni kuridhika,usipotosheka hawaishi hao,utajikuta unazeeka na mambo ni hayohayo.Hata kama utachukua miss world itafika siku utamuona wa kawaida,kwahiyo weka limit,uoe na uanze kitu kinachoitwa kuvumiliana...
 
Ni kawaida,kinachotakiwa ni kuridhika,usipotosheka hawaishi hao,utajikuta unazeeka na mambo ni hayohayo.Hata kama utachukua miss world itafika siku utamuona wa kawaida,kwahiyo weka limit,uoe na uanze kitu kinachoitwa kuvumiliana...
Hahahah nimecheka hicho.[emoji16] kitu kuvumiliana
 
Hao wanawake unaokaa nao unakuwa umewatamani tu. Ndio maana "wanachuja" kama mtu amekula mua utamu wake ukaisha. Ukija KUPENDA HASA (sio kutamani) hutaweza kukaa siku mbili bila ku-communicate nae
 
mkuu rbt inawezekana huwa hupendi kikweli

inawezekana unaamua kuwa na mtu bila kujali kama ni true love au infatuation

maanake infatuation pia inafanana kabisa na love isipokuwa yenyewe ni hisia zitokanazo Zaidi na mihemko labda kwa sababu ya mwonekano wa mtu hasa,mara nyingi aina hii ya upendo kudumu ni mara chache sana

ila true love kufa sio rahisi maana ni hisia zile za ndani kabida kumwelekea mwenzi wako,na huenda hata ukaashangazwa na upendo unavyojengeka,unaweza ukakutana na mtu leo ukamwona wa kawaida sana yaani wala asikushtue,hata baada ya miezi kadhaa ila kadri wakati unavyopita na unavyozidi kuinterract na mtu huyo unajikuta kidogo kidogo unaanza kumwona special na anaanza kukuvutia,tena anaweza akawa wa kawaida sannn au hata sio mzuri au mzuri tu sana pia inawekana

em nikuulize huwa unachukua muda gani kufall in love na hao the so called ma ex wako?

mkiwa kwenye mahusiaono huwa mnasolve vipi ikitokea mmekosana?

ni activities zipi ambazo mnafanya mara nyingi Zaidi mkiwa pamoja?

katika wote ulioachana nao ikitokea umemkubuka mmojawapo huwa unakumbuka nini?
 
Kila mtu yuko hivyo...awe mwanamke awe mwanaume. Inchofanya watu wanaishi pamoja miaka mingi ni.
1. Mazoea
2. Kuwa na vitu vya kufanya pamoja kama kulea watoto, biashara n.k.

Tiba yake ni hii..ukipata mpenzi unaye mpenda tafuta kitu cha kufanya naye pamoja ambacho kitawaweka karibu. Ambacho kitawafanya mpigiane simu mara kwa mara na kuongea mara kwa mara.
 
Kama Vile Wanawake Walivyo na Uzuri wa Ndani Ambao Huwezi Kuuona kwa Macho Ndivyo na Sisi Wanaume Tulivyo na Pesa za Ndani Sana Huwezi Kuziona kwa Macho


Lakini Zipo!
 
Nami ilikuwa ivo ivo japo am mwanamke na nilipokuja kususiwa mimba ndo nikachukia kabisa mahusiano ..achana na kumchoka MTU mapema ila nilichukia kabisa.nipo ndoani ili niendelee kuishi.Only that
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…