BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
Pamoja sanaKwangu sio kitu cha kuweka mfukoni ila it's a must have....SUNGLASSES. Yani nisipovaa nahisi kama vile I'm not fully dressed
haijawahi kukutokea siku huna hata 1000, huwa hutoki? na hizi hela mnazosema hamuwezi kutoka bila kuwa nazo huwa ni mnakua na hard paper au mnakua nazo soft money nikimaanisha hela zinakua kwenye simu? kwa mfano ledada hutoki bila buku na kuendelea hii buku inakua kwenye simu au kwenye pochi?Pesa kwanzia buku kuendelea earphones na sunglasses