Oooo....mfano wa kisu unachotembea nacho,unaweza tuonyesha picha mkuuu maana najua unacho hapo ulipo
Kusema ukweli sijawahi mkuu na napambana Sana nisifike hukoumeshawahi kukaa ukakosa hela kabisa ktk maisha yako? yani kwa maana nyingine ukawa umefulia fuli fuli,imeshawahi kukutokea hii hali?
Mawasaliano na pesaunapenda kwasababu unawasiliana sana au unapenda kuwa nayo kwa ajili hasa hasa kwa kitu gani kwenye simu yako?
na ndizi ya kuiva 🤣Kijiko.
In case Rungwe akiwa anafanya yake.
🤣🤣🤣binafsi vitu ambavyo lazima niwe navyo pindi nitokapo home ni;
• kiberiti
•rizla
•ugoro
•wallet
•handkerchif
•simu
nikiwa navyo hivi napata amani ya moyo sana na kuniongezea kujiamini.
😂😂na ndizi ya kuiva 🤣
ni starehe isiyo na gharama, ni starehe inayobana matumizi kwa ajili ya maendeleo ya familia🤣🤣🤣
Rizla Kiberiti Na Ugoro....
yeyote atae elewa hii comment,mbingu ataisikia kwenye bomba.
Roman Catholic hivi kwann rozari ni must have instrument kwenu?