🤣🤣"kijana handsome kama wewe unavuta sigara hata haikupendezei,si uache tu" basi sipendi yale maneno yao.
umeanza kujipakulia minyamaBila 30k mfuko wa nyuma, siwezi toka
hahahahahaumeanza kujipakulia minyama
Mbona mi napiga sana hayo makitu na sijawahi pata shida mzee.Hayo mengine tunayoyajadili hapa ni bhlah blah tu, ila la huyo mkaanga chapati aliyekueleza:....'kijana handsome namna hiyo unavuta sigara, si uache tu?'..
Alikupatia ushauri mwepesi lakini umebeba ujumbe mzito sana na alitumia jicho la tatu kuona future yako ilivyo hatarini.
Nimezika wazazi wangu wawili wavuta sigara kwa maradhi yenye kufanana yaliyopelekea vifo vyao.
Wakati ninawauguza nilipambana na maswali ya madaktari yenye kufanana pia:..'hivi huyu mzee huwa anavuta sigara?'...
Upo kijana unavuta unasisimka unaona raha, lakini maradhi yatokanayo na moshi wa tumbaku hayawekwi bayana ninadhani kwa sababu za kibiashara!
Tatizo jingine litokanalo na sigara ni uteja wa uraibu upatikanao katika tumbaku, maana hata ninavyokushauri hivi sasa ukashituka na kuamua kuacha utapata tabu sana kujinasua.
Ni suala la uamzi mgumu sana kuacha, nnakushauri amua sasa.
Sasa man hiyo so elfu3nyie watu mko awamu ya ngapi kwani,mnatoa wapi hela zakutembea nazo zimekaa tu eti za imejensi?
Hiki sio kilichokuleta kwenye huu uzi mzeeHayo mengine tunayoyajadili hapa ni bhlah blah tu, ila la huyo mkaanga chapati aliyekueleza:....'kijana handsome namna hiyo unavuta sigara, si uache tu?'..
Alikupatia ushauri mwepesi lakini umebeba ujumbe mzito sana na alitumia jicho la tatu kuona future yako ilivyo hatarini.
Nimezika wazazi wangu wawili wavuta sigara kwa maradhi yenye kufanana yaliyopelekea vifo vyao.
Wakati ninawauguza nilipambana na maswali ya madaktari yenye kufanana pia:..'hivi huyu mzee huwa anavuta sigara?'...
Upo kijana unavuta unasisimka unaona raha, lakini maradhi yatokanayo na moshi wa tumbaku hayawekwi bayana ninadhani kwa sababu za kibiashara!
Tatizo jingine litokanalo na sigara ni uteja wa uraibu upatikanao katika tumbaku, maana hata ninavyokushauri hivi sasa ukashituka na kuamua kuacha utapata tabu sana kujinasua.
Ni suala la uamzi mgumu sana kuacha, nnakushauri amua sasa.
Unasema??? Ujue mimi ni disciplinaliry officer,kazi yangu ni kuchunguza chunguza tu dosari na makosa kisha kuyatolea ushauri yakinifu bila kuhitaji malipo.Hiki sio kilichokuleta kwenye huu uzi mzee
ukikosa hiyo buku 3 au buku mbili huwa hutoki home hiyo siku?Sasa man hiyo so elfu3
SISI TULIOKOSA AJIRA NA HATUNA MITAJI TUNAPO ENDA SITE ZA KUSAIDIA FUND AU KUBEBA ZEGE ,LAZIMA MFUKONI NIWE NA BUKU2 AU BUKU3
MAANA NATOKA GHETO SAA KUMU NA MBILI MPK NAPATA SITE MY B SAA2 HAPO HUWEZ PIGA KAZ NGUMU BILA BREAK FAST
NA WALE WA MAMA WANAO UZA SITE MCHANA HUWA WANATAKA CASH MZEE SASA NABEBA NAYALUNCH
JION NASEPA NA TEN YANGU AU ZAID ITADEPEND NA KAZ HUSIKA
ILA MAGU WANASEMA KAPITA KWA KISHINDO APUNGUZE BEI ZA CEMENT BHANA WATU WAMEPUNGUZA KUJENGA sie ma day waker tunahaso huku
Kijiko.
In case Rungwe akiwa anafanya yake.
Unasema??? Ujue mimi ni disciplinaliry officer,kazi yangu ni kuchunguza chunguza tu dosari na makosa kisha kuyatolea ushauri yakinifu bila kuhitaji malipo.