Kitu gani hufanya mwanamke ampende mwanaume asiye na kitu na kuwakataa matajiri?

Uoga wako ndio umaskini wako.ungekuta saizi na we unaenda kutibiwa india hata ukipata mafua tu

Hahahah.... wewe wasema.... sikupenda kuja kupata dharau siku moja, maana dharau ndio kitu cha kwanza nakichukia katika maisha yangu.
 
Naomba wadada mnijibu
Toka lini?!
Hata kama jamaa anapiga show ya kibabe, mwanamke kuna siku ataona haitoshi, kazi itaanza hapo..
Mwanamke ni...
CSVeLaZWwAQPYIs.jpg

TU...
 
Kuna Ticha mmoja Wa primary ya jirani hapa huwa namgonga gemu la hatari yaani kuna siku majirani walinigongea mlango maana si kwa makelele hayo
Sukuma baby!
Nikaze nikaze!
Ohoo unanipatia yule bwege sana!
Ingiza na maapuumbu!
Akitoka hapo nakwambia hajawah niomba hata mia tano!
 
Ulikosea sana kujidharau hapo ulikuwa unapewa ramani ya kukuweka mjini kishua!
Kweli Wa moja havai mbili
 
Hahahah.... wewe wasema.... sikupenda kuja kupata dharau siku moja, maana dharau ndio kitu cha kwanza nakichukia katika maisha yangu.
Uko sashihi mkuu, mwanamke mwenye pesa ata km unapiga shoo ya namna gani na hajiwezi kwako namna gani, ila huwa wanapitiwa na kufanya dharau sana.... na anaweza akakuaibisha mahali ambapo hujawahi kutarajia....

Trust me nna xperience sana na hii.... ulifanya chaguo sahihi.... ila sema uliwahi jombaa.... unge-make kwanza ndo usepe, hata kwa kisi kidogo ili mkikutana muheshimiane.... otherwise km pesa haikua yake
 
MAMBO AMBAYO HUPASWI KUMFANYIA MWANAMKE ANAEKUPENDA KWA DHATI
1. Usimuumize moyo wake
2. Usi 'pretend' unampenda ili ufanikiwe kufanya yako.
3. Mtukane vyovyote vile ila sio wazazi wake na kumwambia kuwa yeye ni mbaya.
4. Usimfananishe na wanawake zako waliopita.
5. Usimchukulie kirahisirahisi (Never take her love for granted)
6. Usimpige
7. Usimsaliti na kuonyesha kabisa dharau ajue kuwa una 'cheat'
8. Usimvunjie heshima kwa kumgombeza mbele za watu.
9. Usimpotezee muda wake kama hauna mpango wa kumuoa, unamchelewesha kupata mume bora.
10. Usimfanye ajione hapendwi na ana mkosi hapa ulimwenguni, huo ni ujuha.
11. Usimbake
12. Kamwe usisahau kumwambia unampenda na yeye ni mzuri hiyo haipunguzi nguvu za kiume.
13. Usimpe mimba na kumkimbia au kumwambia aitoe, kama huna nia ya kumuoa achana na hayo mambo, nadhani unajua kabisa matokeo ya kufanya ngono.
Sometimes wanaume ni pasua kichwa vilevile, unakuta unapata mwanamke anaekupenda kwa dhati, mwanamke ambae ni potential, mwanamke ambae hakodoi macho pochi yako, ila masikini ya Mungu anaishia kuumizwa na kulia kila siku na kujilaumu kwanini alikupenda.
Wewe fanya hivyo ukidhani unamkomoa, ila siku na wewe ukibananishwa na mwanamke mjasiriamwili utaisoma namba, nakwambia utauza hadi boxer.
Baadae unakuja kulalamika hapa 'wanawake wanapenda pesa, wanawake wanapenda pesa.' ukishikwa shikamana.
Na kama humpendi usimtongoze!
Usimpige ndege Jiwe kama ujandaa mazingira ya kumuokotea

Asante
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom