adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,035
- 15,540
Uoga wako ndio umaskini wako.ungekuta saizi na we unaenda kutibiwa india hata ukipata mafua tuNawajibia from my own experience. Nilishawahi kuwa na mtoto wa kike from family ya kishua tena kishua haswaaaa. Maana ni zile family ambazo mtu akiumwa basi ni safari India. They were rich, and kama unavojua watu wa sample hii huwezi ingia kwake kwa Gia ya hela maana hela si tatizo kabisa kwake. You need to be really.
She was beautiful and she was loving me mno, lakini kila nikiuwazia ukapuku wangu nilikuwa najiona kama nampotezea muda vile maana niliona kama vile hata kwao naweza kuwa rejected.
I just left her finally, I think nilikuwa right according to what I was believing