Kitu gani cha thamani kuliko vyote kwako?

Kitu gani cha thamani kuliko vyote kwako?

Mungu ndiye mtoa afya, ndo maana hata wanaoishi masaki, wenye bima bora, chakula bora, hata marais huwa wanaugua na kufa. kile kinachoshinda mauti na kuzimu ndicho chenye thamani kuliko vitu vyote.
Kwangu Mimi Afya ni ya kwanza. Namtegemea Muumba, na kanipa akili timamu, hivyo ni wajibu wangu kuichunga afya yangu.
 
1 hela
2 hela
3. Pesa
4 hela nyingi
5 .hela
6 .hela
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hata Muumba hujalii wew kiboko kabsa!!!nenda ukajiunge na lile kanisa la kuabudu pesa itapendeza zaidi!!
 
Allah


( فَمَا أُوتِيتُم مِّن شَيْءٍ فَمَتَاعُ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا ۖ وَمَا عِندَ اللَّهِ خَيْرٌ وَأَبْقَىٰ لِلَّذِينَ آمَنُوا وَعَلَىٰ رَبِّهِمْ يَتَوَكَّلُونَ )

الشورى (36) Ash-Shura

Basi vyote mlivyo pewa ni starehe ya maisha ya dunia tu, lakini kilichoko kwa Mwenyezi Mungu ni bora, na cha kudumu kwa ajili ya walio amini, na wakawa wanamtegemea Mola wao Mlezi

( صِرَاطِ اللَّهِ الَّذِي لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ أَلَا إِلَى اللَّهِ تَصِيرُ الْأُمُورُ )

الشورى (53) Ash-Shura

Njia ya Mwenyezi Mungu ambaye ni vyake Yeye tu viliomo mbinguni na katika ardhi. Jueni kuwa mambo yote yanarudi kwa Mwenyezi Mungu.


( صِرَاطِ اللَّهِ الَّذِي لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ أَلَا إِلَى اللَّهِ تَصِيرُ الْأُمُورُ )

الشورى (53) Ash-Shura

Njia ya Mwenyezi Mungu ambaye ni vyake Yeye tu viliomo mbinguni na katika ardhi. Jueni kuwa mambo yote yanarudi kwa Mwenyezi Mungu.
 
AZUSA STREET umeamua kuleta mahubiri humu? Kumbuka watu wana imani tofauti hivyo ungeenda kwenye barabara za makutano uanze kutoa mahubiri na maswali. Mimi Thamani yangu ipo kwa mwandani wangu na watoto wangu. Ndugu tutakosana lakini mwandani na wanangu mpaka liamba. Mungu na Bwana Yesu ni imani iliyo rohoni ndo maana wanasema funga milango na umsifu bwana wako aliye rohoni na ukifunga jipambe ili watu wasijue umefunga ukishajitangaza umefungua. Kaa na imani yako rohoni ila matendo yako ndo yatakujulisha siyo maneno.
 
AZUSA STREET umeamua kuleta mahubiri humu? Kumbuka watu wana imani tofauti hivyo ungeenda kwenye barabara za makutano uanze kutoa mahubiri na maswali. Mimi Thamani yangu ipo kwa mwandani wangu na watoto wangu. Ndugu tutakosana lakini mwandani na wanangu mpaka liamba. Mungu na Bwana Yesu ni imani iliyo rohoni ndo maana wanasema funga milango na umsifu bwana wako aliye rohoni na ukifunga jipambe ili watu wasijue umefunga ukishajitangaza umefungua. Kaa na imani yako rohoni ila matendo yako ndo yatakujulisha siyo maneno.
huwa hupendi mahubiri mkuu? je, wote walioko umu hawapendi kama ulivyo wewe au umejifikiria wewe tu? yanakuchoma moyo?yanakufanya ujisikie guilty? yanakufanya usisimke kama umepagawa na mapepo? sema tukusaidie mkuu.
 
Back
Top Bottom