King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,798
alitaka kugrab kitu alikuwa anaiona kwenye screen ikimchoma choma utosini:flame:
Ahahaa alikuwa anaogelea ama?
Ahahaa alikuwa anaogelea ama?
Ulitaapika au
Umelewa au?
Sitosahau siku nilipotekwa na washenzi wawili wakachukua kila nilichokuwa nacho!
dah, vyote nishavisahau aisee.
wana jm wa janvi hili hebu tupieni hapa kile kikubwa zaidi ambacho kilikukuta katika maisha yako na hutokisahau maishani mwako
kwa upande wangu mimi nilikua nina miaka kiasi ya 17 hivi nilienda kumtembelea mjomba kuna njia ilikua sijawahi kupita na hiyo ndio ilikua ni siku yangu ya mwanzo kupita njia hiyio usafiri niliokua natumia ilikua ni baskeli katika kwenda kwenda zangu nikajikuta nimeshaingia katika kambi ya jeshi e bwanaeeeee!!!!!! mara afande katoka gafla kijana unaenda wapi nikamjibu naenda hicho kijiji cha mbele hapo akasema alaa!! hebu weka hiyo baskeli hapo akanambia wee unajua hapa upo wapi nikamjibu c jui akasema chukua kile kiji ndoo pale anza kuchukua maji tia kwenye pipa pale mungu akajalia maji ikawa hayapo akaanza kunitesa na kunimbisha nyimbo ambazo hata mimi c zijui mara kawaita wenzake wakaja jumla wakawa 5 wakaanza kuniadhibu takriban masaa kama 3 hivi wananitesa tu mara push up mara nilale nyanyuka kwa mbali kuna raia wana ishi karibu na ile sehemu nikapiga kilele kuwambia wale raia jamani nakufa njoni mnisaidie lakini hawakuja kwa sababu hata na wao wangalikuja hapo wangali adhibiwa wakanitesa mpakaka waliporidhika mwisho kabisa wakanivua nguo nikabaki na bukta tu wakaanza kunipiga bakora kila mmoja bakora 5 za kweli kabisa nikikinga mkono hawaihesabu kwa iyo kila mmoja alianza kunipiga 5 hadi wakaisha wote na mwisho kabisa wakanambia nenda zako na hiyo baskeli yako usiipandie ibebe toka hapo hadi mwisho dah!!! sitosahau maishani mwangu hadi hii leo makovu ninayo ilikua miaka ya 1998
Umelewa au?
Sitasahau siku nimekomaliwa nijiuzulu uwaziri bungeni kwa kashfa fulani!
Mmmmmmh kwenda huko
hihihi kwel we ni Tangopori...