Kitu chapati.....

Kitu chapati.....

Nimeandaa karosti hapa, si mbaya kama utanijaalia walau mbili hivi, usiku upite

Usijali ntakugaia 3 mana 2 hutoshiba...karosti maini nini?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hizo chapati kwa muonekano tu zitakuwa ngumu saaana. Chapati laini inakuwa smooth..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom