Kitu chapati.....

Kitu chapati.....

duh kasukuma na stuli kwa chupa ya pepse kikaangio kipisi cha chungu.kama nime mwanamke arudi trainnig,ndoa inaahirishwa
 
Mwanamke jiko😉😉😉😉
Shepu inahusika bana... Nakuuliza, mi unijie...
mashavu ka unapuliza moyo inahusu...?
Shepu ya kihindi pyuwa ina mashiko...???
Miguu ka bomba za peni, tena za ndani, ndo nini....???
Nyonyo usipolivesha sidiria linafika kitovuni, una tenda ya kunyonyesha chekechea...????
Sura ya mbuzi, ili iweje...??? Kwani mimi mtoto kwamba usiponitisha sili..???
 
Shepu inahusika bana... Nakuuliza, mi unijie...
mashavu ka unapuliza moyo inahusu...?
Shepu ya kihindi pyuwa ina mashiko...???
Miguu ka bomba za peni, tena za ndani, ndo nini....???
Nyonyo usipolivesha sidiria linafika kitovuni, una tenda ya kunyonyesha chekechea...????
Sura ya mbuzi, ili iweje...??? Kwani mimi mtoto kwamba usiponitisha sili..???

Heeeee toba weeee yote hayo wanipasha mie? Nilie kabisaaa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Weee cheka tu nlipokua nafundishwa kupika na mama hayo maneno nnayoambiwa nanunaaaaaa leo hii naona matunda yake

Asalam aleykum,chapati zimetulia!! Ila Da farkhina ongeza ujuzi umshinde Mama J labda ntatimiza suna ya mtume niongeze mke
 
Last edited by a moderator:
Heeeee toba weeee yote hayo wanipasha mie? Nilie kabisaaa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hii inakuhusu wewe na wengine wooteee waliokosa shepu halafu wanatafuta visababu... Jikubalini mlivyo, haya ya kwamba .......chapati kuiva, shepu waachie mamodo ....ni maneno ya wakosa shepu...

CC Heaven on Earth
 
Asalam aleykum,chapati zimetulia!! Ila Da farkhina ongeza ujuzi umshinde Mama J labda ntatimiza suna ya mtume niongeze mke

Hahahahahaha mama j ndio nani?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hii inakuhusu wewe na wengine wooteee waliokosa shepu halafu wanatafuta visababu... Jikubalini mlivyo, haya ya kwamba .......chapati kuiva, shepu waachie mamodo ....ni maneno ya wakosa shepu...

CC Heaven on Earth

Hahahaha sawa nimepata pasho la ukweli

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom