binti wa kikwere
Member
- Sep 5, 2014
- 67
- 34
ukiona mwaume amevaa shanga jua si riziki huyo
Th Name zamani mimi nilikuwa nauza maneno tuu siku hizi ngumu kazi na dawaSiku hizi pesa mbele bila hivyo mabinti wazuri utaishia kuwaita mashemeji tu @mshana jr
kabisaukiona mwaume amevaa shanga jua si riziki huyo
Hapo unamkamata yoyote yuleNa wekundu wakiwa wamebanana na miguu ya kizungu juu
Ngoja nijaribu hudhurungi au chanikiwiti
Hahaah, umesahau na wale wanaoacha vifua wazi, kama wale Dada zetu wanaoacha nyonyo zao njeUnapoyatafakari mapenzi kwa kina unaweza kujikuta unacheka tu mwenyewe, unajua kila mwanaume ana jinsi yake ya kutongoza, jinsi nyingine ni vichekesho tupu!
Zamani kule vijijini kuna watu walikuwa wanatumia nguvu zao kama kitongozeo, wao ni magangwe ni wababe wanaogopeka lakini kuna wazee wao ni wachawi au wanamiliki mifugo nk
Siku huku mjini kuna mabitozi wanatumia magari, utanashati,mdomo, sikonyo nk kama kitongozeo lakini kali kuliko zote ni huyu jamaa anayetumia ushanga kama kitongozeo, yani yeye anavaa ushanga mmoja leo akiwa na mwanamke huyu akibadili mwanamke anavua ushanga kwahiyo wanawake wanabaki kwenye dillema, huyu anasema jamaa anavaa ushanga yule anasema si kweli kwahiyo wengine watataka kuhakikisha basi jamaa anakuwa ndio mchezo wake
Unapoyatafakari mapenzi kwa kina unaweza kujikuta unacheka tu mwenyewe, unajua kila mwanaume ana jinsi yake ya kutongoza, jinsi nyingine ni vichekesho tupu!
Zamani kule vijijini kuna watu walikuwa wanatumia nguvu zao kama kitongozeo, wao ni magangwe ni wababe wanaogopeka lakini kuna wazee wao ni wachawi au wanamiliki mifugo nk
Siku huku mjini kuna mabitozi wanatumia magari, utanashati,mdomo, sikonyo nk kama kitongozeo lakini kali kuliko zote ni huyu jamaa anayetumia ushanga kama kitongozeo, yani yeye anavaa ushanga mmoja leo akiwa na mwanamke huyu akibadili mwanamke anavua ushanga kwahiyo wanawake wanabaki kwenye dillema, huyu anasema jamaa anavaa ushanga yule anasema si kweli kwahiyo wengine watataka kuhakikisha basi jamaa anakuwa ndio mchezo wake
Big upmmmh kama ni yeye weka mbali kwa wasichana...
yaani alitumia nguvu kubwa kumpata mmoja akiwa amevaa shanga.yule mmoja akasimulia wadadisi wkajitosa kuhakiki akajikuta amepiga,kwa kupitia kusimuliana jamaa akajikuta amechojoa kyupi nyingi nyingi.hivo yanisasa hapo sijaona kama katongoza jamani.. au mimi ndio sijaelewa mleta mada???
process iliyoelezewa hapa haisemi kama katongoza, tumeelezewa 'output' yani keshagegeda tayari, baada ya hapo habari zikasambaa kwamba ana ushanga..!
sasa swali, ametongozaje?... 'input'. (mbinu alizotumia ni zipi mpaka ushanga wake ukaonekana)