Kitine: Kuna waziri ameiba fedha za nchi huko nje ametia mfukoni mwake kutafutia urais

Kitine paid the price for the mistakes of his wife. He has the moral authority to speak of corrupt practices.

In Christianity Saul was a beast killer of anyone who professed to follow Jesus. Until one day a light shone on him on the way to Damascus. Today, Saul, who became Paul is a saint in the Christian religion.

Kitine made a mistake, paid for it but that does not mean that he cannot be a soldier in this battle against corruption. Let him speak. Kama zile dola elfu sitini ndizo zinazokuumiza, alizirudisha hazina.

Next question?
 
Wazee wawili wastaafu wa nchi hii wako Channel Ten kwenye kipindi cha Je Tutafika. Nafikiri leo ndiyo siku yake (kama si marudio). Ni Dkt. Hansy Kitine na Dkt. Kiwanuka
Huyo jamaa kwenye RED nae kilaza pia....tulimpa ubunge makete kachezea
 
Kama Membe amekwapua asemwe ingawa akisemwa kwa mafumbo ujumbe haufiki vizuri. Kimsingi, hakuna waziri safi chini ya utawala wa CCM. Hili lilijitokeza pale wabunge walipopaswa kusaini karatasi ya kutokuwa na imani na Pinda. Ni Filikunjombe pekee aliyeonyesha kuwa safi ingawa kuna fisadi mmoja Mkono alisaini kutokana na ima kunyimwa fursa kama mwanzo au kutafuta kuungwa mkono na kufikiriwa tofauti na alivyo.
 
Nimeona Kitine amemfagilia sana Gideon Cheyo, John Chiligati na Anna Tbaijuka kuwa ni viongozi wasafi. Mzee naona hana cha ku loose. Yaani kamchana Membe ki aina, yaani JK amesahau kutoa kasa lingine kwenye system.

Huyu mzee naona anapiga porojo tu na kutaka tu kulipiza visasi kwa Membe kumtoa kwenye uwaziri kipindi chake. Gideon Cheyo wakati akiwa waziri wa ardhi, wizara ile ilikuwa imeoza mpaka Magufuli alipoenda pale akanyosha mambo. Hizo pesa ambazo Membe alipewa huko Comoro, Morocco na Libya ziliingizwa kwenye akaunti yake binafsi au? Hamna cha maana hapa.
 
Uthibitisho wa picha litakuwa jambo muhimu sana ikiwezekana na vibali/vyeti vya umiliki kama vitapatikana kwa usahihi zaidi. Wadau nawasilisha.

Picha kila mtu anaweza kupiga ama aka google na kuweka. Hapa inatakiwa kama issue ya Ngeleja na Maige, docs za kuthibitisha kwamba mmiliki ni nani. Ama data na melezo yaliyoshiba. Otherwise hakuna haraka hapa, ukweli kama upo utajulikana tu, hata mtu ajifiche wapi, lakini tusitoe nafasi ya watu kuanza kuchomeka ajenda zao na kuharibu hadhi na heshima ya JF ya kuwa wakweli. Kuna mtu humu aliweka mambo ya Nundu, wakaja watu wakasema katumwa na Naibu wake, jamaa akasema kama wote ni wezi hakuna wa kuachwa na kweli, hakuna aliyebakia wamezolewa na mafuriko ya ZZK70.... na Invisible akamwaga hapa ya Ngeleja na Maige naye zikamwagwa data za uhakika..... mambo yakawa... hii ndio heshima ya JF si maneno matupu.

Mfano hii hoteli tutasema ni ya nani?

 
What we know is that Hassy Kitine, through his wife, willingfully embezzled $60,000 through false pretences, from the Government of Tanzania. What we don't know is how this Criminal and Common Thief so to speak, came to avoid legal consequences of his criminal activities through allegedly making up for crimes by merely "paying back" whatever he stole from the People of Tanzania, and thus by doing so, avoiding any legal consequences and/or punishment according to relevant Laws of the Republic. In other words, there's absolutely no evidence to back up your claims to the contrary.
 
Yale ya Kitine tayari yalishathibitika kwamba ni kweli kwavile hata ushahidi ulitolewa! Hili la Membe, time will tell. Lakini kama asemayo Kitine ni sahihi basi ni sahihi vile vile ku-conclude kwamba Membe na Dr. Kitine hawana tofauti!!
Hili nalo neno, lakini:
Kitine aligunduliwa wizi wake na kulazimika kujiuzulu au kufukuzwa, Membe je, yupo wa kufichua madudu yake? Na kama yakifichuliwa, atajiuzulu/atafukuzwa?
 
OneManArmy,
Believe me I know more about this saga than anybody else in this forum. The word willingfully would not come into play if you knew the whole episode. If Kitine is a thief, he is a repented thief who has paid the price by losing his ministerial position and paying back the money. You cannot say the same of the same fisadis we are talking about in Tanzania today. Unless you have a personal beef with Kitine calling him a criminal and common thief does not do him justice.
 

 
The said Hotel building is owned by one Shabby....... kama kuna mtu anaweza kutusaidia kuunganisha dots atuwekee, lakini Membe aliwahi kumwambia mtu "huo ujinga wanaoueneza nawasubiri watoke hadharani niwashitaki... hiyo ni hotel ya Shabby, na kuwapo kwake kusini haimaanishi ni ya viongozi wa kusini"........
 

Mkuu Jasusi, mind telling us what you know? It surely won't hurt anyone by doing so, plus it would go a great length in exonerating Hassy Kitine from the the kind of pending allegations he's still facing.
 
Kibanga Ampiga MKoloni,

Ziara ya Morocco wamerejea jana wazee hawa na leo Kitine kaibuka na fedha za Moroco za Polisario!!! duh!! Tusubiri tuone Kamati ya Bunge iliyorejea ikija na azimio la kutaka Tanzania ibadili msimamo na kuitosa Polisario. Tanzania na Polisario, PLO etc si maamuzi ya leo ama jana.... wanaojua historia watuambie

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...anzania-haijavunja-uhusiano-na-gadaffi-4.html By Mzee Mwanakjiji
 
Haswa nafikiri anamzungumzia Membe. Watu wa mambo ya nje mliopo humu tuleteeni data hapa JF.

Yupo morocco tokea Jana na kaja baada ya kuona kamati ya mambo ya nje iko morocco,but bahati mbaya kamati imeshajua mpaka pesa alizokula Morroco kwa miaka minne.Nasikia anakula na mkuu WA Kaya pasu kwa pasu...kweli nchi hii inaliwa na wenye Meno na kujengwa na wenye Moyo.
 

Hahaaaaa!!! Thats nice>>>>>> Tupe picha kama hizo hapo juu!!!!
 

Mkuu Tumaini Makene,

Tuweke kumbukumbu sawa: Hapo kwenye RED, Dr. Kitine alikuwa ni full Minister. Ofisi ya Rais - Utawala Bora huwa hakuna Naibu.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaa!!! Thats nice>>>>>> Tupe picha kama hizo hapo juu!!!!
Picha ngumu kupata sababu ana deal na mtu ambaye alideal na kamati,na akamwambia huyo mtu akikutana na kamati asiseme Kama Yuko morocco,kamati iko marakesh na kesho inaondoka kurudi dar.Yeye anahamia casablancaaaa! Atahangaika but he is responsible to the kamati,nasubiri kwa hamu recommendations za kamati.Maana kila kitu kamati imeambiwa,schoolarship kibao kazikalia hajatoa kwa WA tz...
 
Unapoona mpaka "Usalama wa Taifa" wanageukana wenyewe kwa wenyewe, ujue hapo kazi nene.
 
Hahaaaaa!!! Thats nice>>>>>> Tupe picha kama hizo hapo juu!!!!

Mkuu Halisi,

Siku hizi umekuwa mchoyo wa 'ma-news', yaani 'ma-news' makubwa namna hiyo ulikuwa umegoma kuyavunja hata kwa kutupa dondoo kiduchu?

Hapa kuna agenda ya Mamvi kumshusha jamaa au ni nini kinaendelea? Maana huu mwelekeo unavyokwenda unaashiria makubwa.

Mamvi na Kamati yake walienda kama kikosi cha kufuatilia maswala fulani au nini haswa kilichoifanya Kamati yake iende Morocco. Naona hapa kunaweza kuwa na kete inarushwa kiaina.

CCM ninaipenda bure .... ngoja nikae mkao wa kusubiri kuona watu wanavyomwagiana matope na kuvuana nguo hadharani.

Ila kama "dili" linaenda mpaka kwa Mkulu, hapo naona "imbombo ngafu" tunaweza kuona some sort of Richmond? Maana mambo ya Ekelege na TBS yalianza ivi ivi kwa Kamati kwenda Far East!
 
Last edited by a moderator:

Mkuu tunapozungumzia moral authority tunazungumzia morals. Huwezi kuwa kahaba ukamlaumu mtu mwingine kwa ukahaba, huwezi kuwa mwizi ukamshutumu mwingine kwa wizi. Kama Membe ni mwizi au fisadi kama tunavyodhani anasema Hamisi Kitine, ni vizuri wasiowezi na mafisadi wakasema hivyo. Inatia shaka kusikia mwizi anapiga mayowe ya mwizi, kwenye hali kama hiyo tunaoachwa kwenye mataa ni sisi tunaofisadiwa. Bahati mbaya sijaona kipindi hicho, kama topic ilikuwa "ufisadi na wanaotafuta urais" basi ingekuwa vema azungumzie issue nzima na sio kugusa juu juu ambako hakuna hata wizi, ila kupokea pesa toka nje.

Mzee kama Hamisi Kitine alitakiwa kutumia uzoefu wake kutusaidia watanzania kudeal na mzizi wa ufisadi na sio kutumia issue ya ufisadi kuonesha chuki binafsi kwa waliofichua ufisadi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…