Acha urongo weyee....angekuwa baba yako huyo ungeandika hivi???...umesikia Nyumbani kwao hakuna usalama?....ebu nenda kakae wewe mahabusu ndo unajua kama kunavutia....Kukaa rumande ni kwa usalama wao mkuu
Kitilya ni mkabila alijaza sana wachagga TRAWacha aendelee kusota, malipo ya ubaya ni hapa hapa alinifukuza tra kwa sababu sikuwa mchaga ili aajili wachaga wenzake
Una maana gani
Hii sheria ya uhujumu uchumi iangaliwe upyaUhujumu uchumi dhamana hakuna lakini tuangalie upya huyu alikuwa kamishna wa mamlaka t.r.a angetaka kuwa mwizi nafikiri ndo angekuwa mwizi nomber moja hawa walioko madarakani kuna kitu tunawafundisha tuwe makini tunapoweka watu ndani uadilifu utatoweka mzee mkapa na kikwete walimwamini sana huyu mzee kitilya nasema ukifikia kustaafu na ulikuwa mwadilifu ukikaa mtaani utajua vitu na utajuta ukisema ningejua mstaafu anakula mafao gerezani upelelezi ukamilike mzee muadilifu atoke ni maoni yangu hayo
Why unamkamata mtu wakati huna ushahidi...almost wanaenda zaidi ya miezi 6 wapo ndani ushahidi bado haujakamilika?....
Kukaa rumande ni kwa usalama wao mkuu
Pesa aisafishwi ukabaki salama nduguKwani hawadhaminiki?
Makosa yao hayana dhamana?
Sa nyingine ukishiba unaweza tafuta kivuli kipo wapi ukapumzika tu.Uhujumu uchumi dhamana hakuna lakini tuangalie upya huyu alikuwa kamishna wa mamlaka t.r.a angetaka kuwa mwizi nafikiri ndo angekuwa mwizi nomber moja hawa walioko madarakani kuna kitu tunawafundisha tuwe makini tunapoweka watu ndani uadilifu utatoweka mzee mkapa na kikwete walimwamini sana huyu mzee kitilya nasema ukifikia kustaafu na ulikuwa mwadilifu ukikaa mtaani utajua vitu na utajuta ukisema ningejua mstaafu anakula mafao gerezani upelelezi ukamilike mzee muadilifu atoke ni maoni yangu hayo
Babaangu sio mhujumu uchumi rumande akafanyejeAcha urongo weyee....angekuwa baba yako huyo ungeandika hivi???...umesikia Nyumbani kwao hakuna usalama?....ebu nenda kakae wewe mahabusu ndo unajua kama kunavutia....
Maana yake nini? ngoja watafakari maana yake wakurudie....
This is a different era..jail means just that.kwa polisi wetu hawa unaweza kukuta wanalala nyumbani asubuhi wanaletwa mahabusu
do huyu jamaa alikuwa na nyodo sana nakumbuka siku chache tu huyu jamaa alikuwa mwnaza na machinji
kwani hawa watu hawakuiba hela yetu mbona tunakuwa wanafiki hivyo acha na wao waonje joto ya jiweHivi visasi kuna siku isiyokuwa na jina vitalipika. Eti awamu ya pili kutoka uingereza! Kama kweli waingereza wako slow hivyo kwenye upelelezi basi sio uingereza ninayo jua. Ikanikumbusha uchaguzi wa Kenya kuwa wenye server huko ufaransa bado kwao ni usiku hivyo bado hawajaamka. Kamwe vituko havitaisha Africa.