Mbona kwenye Kesi Za mauwaji, watuhumiwa hukaa ndani Kwa miaka mingi, kabla ya hukumu. Na hujawatetea kwamba waachwe mpaka hapo hiyo huku my ikatendeka au Kesi kuanzia.Kama tuhuma zinatosha kumweka mtu jela bila ushaidi basi hakuna maana ya sheria na mahakama. Unafiki ni huu wa kusema mtu ameiba bila kuthibitisha wizi wake.