FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,064
Bila shaka, maana ametimia.Aliwah kuwa Miss Tz mkuu
Bila shaka, maana ametimia.Aliwah kuwa Miss Tz mkuu
Dah Masikini Sioi, wanatia huruma lakini.
ila shose kazuri sana kale ka binti.sema wakubwa wamekula sana paleDah Masikini Sioi, wanatia huruma lakini.
Kukaa rumande ni kwa usalama wao mkuu
Wana kesi ya kuhujumu uchumiUsalama upi?? Kwani wana case ya mauwaji hawa watu???
kwa polisi wetu hawa unaweza kukuta wanalala nyumbani asubuhi wanaletwa mahabusulakini wamenenepa
mkwe wake huyo
Hahahaaaa namuona mama mkwe
tunaposema tunaishi kwenye nchi inayofanana na choo wengine wanaona hatuna uzalendo na nchi yetu,huwezi kumkamata mtuhumiwa bila ya kwanza kukamilisha upelelezi,ila sie tunafanya other way round ndio maana hizi kesi zote hasa zenye public domain DPP ameshindwa mahakamani,na mbaya zaidi kesi za madai dhidi ya serikali hazijawa tested mahakamani,sijui imeishia wapi kesi ya Mh.Mbowe dhidi ya DC,au sijui Mr.Manji kama kafungua kesi ya madai dhidi ya serikali.Tanzania buana, mtuhumiwa anakamatwa kwanza,upelelezi ndo unaanza akiwa jela... What if akija onekana hana kosa na mahakama kumwachia huru, will the Government pay the damage to rebuild their reputation???
lakini wamenenepa
Hheey.. Kwani wameua?Kukaa rumande ni kwa usalama wao mkuu
Yote maisha
Kutakatisha pesa hakuna dhamanaKwani hawadhaminiki?
Makosa yao hayana dhamana?
Mpaka hapa kesi imeangukia pua, justice delayed is justice denied.Sio " angetaka kuwa mwizi, ALIKUWA MWIZI !!! Subiri tuone!
Wamehujum uchumiHheey.. Kwani wameua?
Haina uhusiano na usalama waoWamehujum uchumi