Neno "UKWASI " ulilolitumia kwenye maelezo yako kuelezea Ukwasi wa NSSF, NHC umemaanisha nini labda?Yaani hakuna poyoyo kama wewe ambae clueless kuhusu maswala ya biashara halafu eti ni tajiri.
Piga uwa siwezi kuwa maskini nchi kama hiyo, kama wewe ni tajiri..
The nonsense you talk about is beyond me.
Katika deni la serikali guarantee debt la NHC ni zaidi ya trillion mbili ambalo wanalipa mkopo wa China (hizo ndio sababu za Magufuli za kumtimua Nehemia).
NHC walikopa kwa government guarantee kwa miradi ya biashara ambayo walitakiwa walipe wenyewe based on their plans (which it failed).
Matokeo yake projects zao zilivuka grace period wakati nyingi azijaisha na serikali (walipa kodi) ikabidi ianze kugharamia hayo madeni. Ndio Magufuli alipoona upuuzi wa NHC unatosha na kumtimua huyo kilaza Nehemia.
NSSF ilikuwa na miradi ya nyumba (at inflated costs), wakati huo huo asllimia kubwa ya mapato yao wanapeleka kununua government treasury bonds through banks, madeni ambayo serikali ya Jakaya Kikwete ilikuwa hailipi mpaka shirika likawa na ukwasi na kuanza kusua sua kulipa commitment zao za pension.
Matokeo yake Magufuli akaanza kulipa madeni ya NHC, kulipa madeni ya treasury ya NSSF na kwa sababu NSSF ilikuwa na ukwasi ikabidi serikali iwajibike ku-cover shortage cash flow kulipa watumishi wanaodai.
Hao wengine wote walikuwa na shida zao ambazo serikali ya Magufuli ilikuwa inapambana kuyaweka sawa kwa uozo aliouokota kutoka haramu ya tano.
Huyu The Boss aliwahi shauri serikali iongee na Disney wajenge theme park shinyanga (tells you, how pathetic he is).
Sasa kama huyu bwana tajiri na wewe maskini lazima ujiulize unakosea wapi.
Ndio kama huu ushauri wake yaani serikali ibebe madeni ya kipuuzi kwa hela za walipa kodi.
I don’t know how you people give likes on posts this idiotic stance; yaani mtu anaandika ujinga tu kutoka kichwani kwake.
Like seriously kama mtu mwenye akili ndogo kama hizi ni tajiri; halafu wewe una struggle jitafakari unakosea wapi.
Maana jamaa ni kilaza hatari