TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Kuna utaratibu wowote wa kumuondoa mwizi, mdanganyifu?Ishu sio kutetea vihiyo..walichokuwa wanadai ni utaratibu wa kuwaondoa chuoni ambao ulikuwa umewadhalilisha utu wao..Naona watu wamehamisha magoli kutafuta siasa za maji taka