sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,491
Mwenyekiti wa chama cha ACT-WAZALENDO Tanzania Prof. Kitilya Mkumbo amewashangaa Wapinzani wanaowatetea wanafunzi "vihiyo" waliotimuliwa.
Aidha amesema kuwa alishawahi kuandika makala ya namna ya kutatua tatizo la uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi ila hayakufanyiwa kazi.
Aidha amesema kuwa alishawahi kuandika makala ya namna ya kutatua tatizo la uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi ila hayakufanyiwa kazi.