Katika wakati huu ambapo watu mbalimbali wenye nia ya kutaka kuchaguliwa kushika nafasi za uongozi kisiasa katika uchaguzi ujao,Jimbo la Rorya linawaniwa na watu mbalimbali kama wafanyabiashara,wanasiasa,wanaharakati katika kuwania nafasi ya mbunge na madiwani.
Mmojawapo wa alionyesha nia ya wazi ni Ndugu Stephen JJ Owawa ambaye ni mtumishi wa ofisi ya CAG huko Bukoba.Amekuwa akizunguka jimbo zima akitafuta kuungwa mkono kupata tiketi ya CHADEMA kama mgombea wa nafasi ya ubunge.Hatuna uhakika kama CHADEMA wamempa hiyo ridhaa ya kuitisha mikutano ya kisiasa!
Taarifa zilizopo ni kwamba Ndugu Owawa amesimamishwa kazi na mwajiri wake kwa tuhuma za ubadhirifu na kuna uchunguzi unafanyika dhidi ya tuhuma hizi.
Inawezekana Ndugu Owawa ana nia kweli ya kuwaongoza wana Rorya kama Mbunge lakini tuhuma hizi za ubadhirifu zinamtia doa hasa anapotaka madaraka hata kabla ya tuhuma hizo kujulikana kama ni za kweli au si za kweli.
Wana Rorya muwe makini sana na wagombea wanaokuja kutafuta ajira mbadala kwa kisingizio cha kutaka kuinua maendeleo ya jimbo lenu.
Nawakilisha
Mmojawapo wa alionyesha nia ya wazi ni Ndugu Stephen JJ Owawa ambaye ni mtumishi wa ofisi ya CAG huko Bukoba.Amekuwa akizunguka jimbo zima akitafuta kuungwa mkono kupata tiketi ya CHADEMA kama mgombea wa nafasi ya ubunge.Hatuna uhakika kama CHADEMA wamempa hiyo ridhaa ya kuitisha mikutano ya kisiasa!
Taarifa zilizopo ni kwamba Ndugu Owawa amesimamishwa kazi na mwajiri wake kwa tuhuma za ubadhirifu na kuna uchunguzi unafanyika dhidi ya tuhuma hizi.
Inawezekana Ndugu Owawa ana nia kweli ya kuwaongoza wana Rorya kama Mbunge lakini tuhuma hizi za ubadhirifu zinamtia doa hasa anapotaka madaraka hata kabla ya tuhuma hizo kujulikana kama ni za kweli au si za kweli.
Wana Rorya muwe makini sana na wagombea wanaokuja kutafuta ajira mbadala kwa kisingizio cha kutaka kuinua maendeleo ya jimbo lenu.
Nawakilisha