Kiti Cha AU kimepata Mbabe

Somebody needs to put that fool in his place....i.e. give him a serious beatdown
 
hafai huyo, hata sijui kwanini wamempa hiyo nafasi. hafai kabisa...
 
Who is better? Mugabe, Kibaki au Museveni et al..wanaoitisha uchaguzi, wanakataa matokeo, wanaiba kura, wananchi wanakufa, watu wanawekwa jela, hela za walipa kodi zinaungua..au Ghadhafi ambaye haitishi uchaguzi lakini anaweka misingi ya uchumi ambapo wananchi wake wanahangaika kivyao kujitafutia mkate wa kila siku?

As one said, AU is another joke! No body has moral linchpin to criticize Ghadafi..Museveni is a faithful protege wa Gadhafi.....ningemuelewa kama alivyoingia madarakani angekuwa tofauti na sponsor wake Ghadafi! But he is worse....Ukweli ni kwamba Waafrika tufike kipindi tuache kudanganyana! we are all grown up...Hivi kweli mtu amekaa madarakani 40 years..ataleta change gani? only same old failed policies...

Ndo maana wazungu they dont take these folks seriously..wanajua they are just unserious folks minting personal wealth from their people.
 
Naona tunakoelekea sio kuzuri....mwanzoni tu jamaa analeta vituko...Je yakitokea mambo makubwa zaidi......kama "military decision"......!!!!???!!!
 
Naona tunakoelekea sio kuzuri....mwanzoni tu jamaa analeta vituko...Je yakitokea mambo makubwa zaidi......kama "military decision"......!!!!???!!!

...dont worry,AU ni kama vyama vingine tuu like UDASA,FAT,CHANETA

etc,ni mdomo tuu hawana pesa wala jeshi achilia mbali political will....nina wasiwasi hata kama legally wanaweza fanya chochote.
 
Holy Crap!Kikng of kings?He will have to wait for that for qquite sometime!
kweli Benki imekabidhiwa mwizi
 
Hivi hayo maneno kwamba sababu ya Ghadafi kutoka mkutanoni ni hizo yametokea wapi??, wakati Waziri wetu kasema pengine Ghadafi alijisikia vibaya. sisemi kwa lengo la kumtetea ila ningependa kujua je yeye ndivyo alivyosemaa???, watu wanachuki na mtu kukaa madarakani muda mrefu, hili sio tatizo kabisa, muhimu ni kuwajibika(kutimiza wajibu). (wengine ukisema kuwajibika wanatafsiri ni kuachia madaraka kutokana na kushindwa wajibu hii ni tafsiri mbufu).
Wapo viongozi wengi wa kifalme na wamekaa madarakani miaka chungu mzima na hakuna anayelalamika, mimi naipenda sana sera ya viongozi wazuri kudumu madarakani hadi watakaposhindwa wenyewe.
 
Hiki kitu kinachoitwa "United states of Africa" ni ndoto za mchana mweupee, Nina uhakika nchi kama marekani na Ulaya hawawezi kukubali kitu kama hiki kitokee kwani ni hatari sana kwa maslahi yao. Hapo kinachoendelea ni kusign per diem tu.

Viongozi wetu wa Africa ni wabinafsi sana na hawawezi kuhatarisha hatma ya kupata misaada kwa kuridhia kuwa na kitu kama hiki. Hapo ninajua kuwa kuna kazi kubwa sana inafanywa na lobbyist wa west kuhakikisha hii kitu haifanikiwi na wengine humohumo kikaoni wapo kwenye payroll ya Western organs kuhakikisha this never happen. Hapa ni divide and rule tu Africa ikiwa nchi moja ni hatua kubwa sana dhidi ya ukombozi kwa waafrika ila ukombozi huwa bado ni ndoto.

Qadaffi inawezekana amepata hasira kwa sababu anajua kuwa kuna vibaraka wa west humo kwenye mkutano ambao lwngo lao ni kuvuruga tu. Hii hoja ya kuanzisha AU ilitolewa na Qadaffi na ikapitishwa na yeye akawa mwenyekiti wa kwanza wa AU, sasa sioni kibaya cha kujutia kumpa tena nafasi. Huyu jamaa ana malengo mazuri sana bara letu kwani anajua mengi ukilinganisha na hao wanaompinga. Ila anatakiwa awe diplomatic tu maana tuna maadui wengi sana wasioutakiwa mema umoja huu.
 
rule ni mzunguko hakuna geni
mbona idi amini dada alisha chair OAU

Mkulu haya ndio matatizo ya Africa viongozi tunapata viongozi feki kwa sababu wanapatikana kwa njia feki. Sasa Africa yote itashauriwa kuichukia Marekani. Anyway here we go...
 
Hiki kitu kinachoitwa "United states of Africa" ni ndoto za mchana mweupee, Nina uhakika nchi kama marekani na Ulaya hawawezi kukubali kitu kama hiki kitokee kwani ni hatari sana kwa maslahi yao. Hapo kinachoendelea ni kusign per diem tu.

Viongozi wetu wa Africa ni wabinafsi sana na hawawezi kuhatarisha hatma ya kupata misaada kwa kuridhia kuwa na kitu kama hiki. Hapo ninajua kuwa kuna kazi kubwa sana inafanywa na lobbyist wa west kuhakikisha hii kitu haifanikiwi na wengine humohumo kikaoni wapo kwenye payroll ya Western organs kuhakikisha this never happen. Hapa ni divide and rule tu Africa ikiwa nchi moja ni hatua kubwa sana dhidi ya ukombozi kwa waafrika ila ukombozi huwa bado ni ndoto.

Qadaffi inawezekana amepata hasira kwa sababu anajua kuwa kuna vibaraka wa west humo kwenye mkutano ambao lwngo lao ni kuvuruga tu. Hii hoja ya kuanzisha AU ilitolewa na Qadaffi na ikapitishwa na yeye akawa mwenyekiti wa kwanza wa AU, sasa sioni kibaya cha kujutia kumpa tena nafasi. Huyu jamaa ana malengo mazuri sana bara letu kwani anajua mengi ukilinganisha na hao wanaompinga. Ila anatakiwa awe diplomatic tu maana tuna maadui wengi sana wasioutakiwa mema umoja huu.

Take 5 hofstede...Great analysis and thinking.
 
Mwiba,
Huo Muungano wako na Watanganyika, unakushinda. Nimeshasoma MATUSI kibao unayotutukana Wabara humu ndani. Leo BILA AIBU unasimama na kumpongeza Ghadafi. Nashindwa kujua hapa umetumia UARABU wake au UISLAM wake (please usiniletee zogo la Mkristo na Muislam hapa na kutoka nje ya habari) na kumwagia hayo masifa. Tena unaweka neno MBABE. Mkapa pia alikuwa Mbabe, mbona humpi maksi zake? Au kwa sababu alikuwa Mtanganyika/Mkristo (ingawa dini yake inaleta mashaka).

Sasa kama ukiwepo Muungano wa Africa, ndiyo watakuja mataifa mengine kibao. Na labda wao pia wataiba na kufisadi kuzidi hadi Wabara. Hebu kaangalie kwenye dictionary maana ya KIGEU-GEU.
 
How is Libya in terms of economic development under Ghadaf leadership? Are there EPA, DOWANS, RICHMOND, ATC, IPTL, NBC, BUZWAGI, TWIN TOWERS E.T.C scandals in Libya? What about Wars, genocide in Libya? I don't care much about western democracy, what I care is a visionary and capable leader who can facilitate development of a country and its people provided he is popularly supported by the people.

Mbona wamarekani wanavyama viwili tu vya siasa? Is that democracy? I support genuine African good ideas
 
Gaddafi anataka kujifanya "King of Kings"

I did not know he was a king to begin with, how can one be a king of kings without being a king?

Huyu jamaa anaweza kuanzisha vita ya Afrika sasa hivi.
 
Anyway sijajua vizuri, isije ikawa maadui wa "One United Africa" wameanza Media Campaign against hii kitu.
 
Kwamba wapinzani mkuu wa Gaddafi walikuwa Museveni na Mugabe, madikteta wenzake tells a a lot. His Excellency President Al Haj Colonel Gaddafi, king of kings and Supreme Chairman of AU - does this ring a bell ? Where have I heard it before and who does it remind me of ? No wonder his biggest critic was Museveni.
 
Back
Top Bottom