ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Katika yote yakiyotokea kiteto n aibu. Msimamizi wa uchaguzi hakuutangazia umma matokeo badala yake alitoka ofisini akawapatia wagombea matokeo na kumpatia mshindi cheti bila kuwatangazia wananchi matokeo kama ilivyofanyika kwa majimbo mengine. iLI KUJUA MATOKEO ILIBIDI KUWAVAMIA WAGOMBEA KUJUA KILICHOANDIKWA!
Matokeo:
CCM 25,308
CHADEMA 13,786
cuf 461
nccr mAGEUZI
Matokeo:
CCM 25,308
CHADEMA 13,786
cuf 461
nccr mAGEUZI