Kitendo hatari ulichowahi mfanyia mpenzi wako

Kitendo hatari ulichowahi mfanyia mpenzi wako

Ebu ngoja nipite kimya kimya hapa, naama naona nafsi unanisuta na sipendi niandike uongo hapa.....
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Mpenzi wangu huyo alikua na maneno ya shombo sana, siku akawa anaongea shombo zake halafu nimewaka tuko escape one yani kushuka tu kwenye gari nilipiga ukunga kama nimefiwa, kwa bahati akatokea mtu ananijua nikawa namlilia anirudishe nyumbani yule mwanaume nilie nae ananitesa. Halafu mwanaume mwenyewe ni mtu na heshima zake yani kuonekana kama anamnyanyasa mwanamke ni jambo la aibu kwake.
Anasema ile siku nilimkosesha hela nyingi sababu nilivyokua nalia kwa sauti ilibidi na yeye arudi hotelini bila kuonana na watu alokua ameahidiana nao.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Duuuhw nilipokuwa mwaka wakwanza nilipata bek3 pale riverside huyo nilimpiga kidole cha kati kwenye kwenye naniliii Duuhw....
 
Nina miaka nae kama 4 sijawahi kumpiga wala kumtukana hata tusi dogo la mjinga... Sasa juzi kati alaniudhi nikampiga kofi moja nakamwambia mpumbavu.

Daaah basi bidada alikaa siku tatu anawaza analia baada ya mambo kukaa poa akaniambia alikuwa analia sio kwa kofi wala tusi bali alikuwa anawaza mangapi ambayo amefanya sijawahi onyesha reaction ya namna hiyo.So alikuwa anaumia maana anajua mpaka kufanya action ile nilikuwa nimekasirika sanaaa

Akaniahidi atokuja kuniudhi tenaa kiasi kile
Bora ww Mim alinicheat nkajua nkaanzisha ugomvi wa maana hadi leo hakuna aliyeweza kuuamua na still manz bado inanipenda cz tulitambulishana kwa wazazi na tuna miaka isyopungua minne had inatia hasira..[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Na tuliahidiana mengi ikiwemo kuoana mwakani mwez wa 6.Ila kanipa bonge moja la funzo
 
Nmepanga kumfanyia next week nikimfanyia nitakuja kuwapa majb hapa. [emoji54]
 
Bora ww Mim alinicheat nkajua nkaanzisha ugomvi wa maana hadi leo hakuna aliyeweza kuuamua na still manz bado inanipenda cz tulitambulishana kwa wazazi na tuna miaka isyopungua minne had inatia hasira..[emoji16] [emoji16] [emoji16]

Aliku cheat………


Anakupenda…………

Aiseee bado ataendelea kukucheat na utaendelea kuamin anakupenda.
 
Back
Top Bottom