Kitendo hatari ulichowahi mfanyia mpenzi wako

Kitendo hatari ulichowahi mfanyia mpenzi wako

Nina miaka nae kama 4 sijawahi kumpiga wala kumtukana hata tusi dogo la mjinga... Sasa juzi kati alaniudhi nikampiga kofi moja nakamwambia mpumbavu.

Daaah basi bidada alikaa siku tatu anawaza analia baada ya mambo kukaa poa akaniambia alikuwa analia sio kwa kofi wala tusi bali alikuwa anawaza mangapi ambayo amefanya sijawahi onyesha reaction ya namna hiyo.So alikuwa anaumia maana anajua mpaka kufanya action ile nilikuwa nimekasirika sanaaa

Akaniahidi atokuja kuniudhi tenaa kiasi kile
 
ugomvi ulikua hauepukiki hapo hata ningekua Mimi ningekumind hatari... mawasiliano yanasaidia sana kama mko mbali pia
Na mawasliano yakipungua kidogo tu nivo ukiona hali imechange hapo watu washaanja kukamatia fursa
 
Sana ,najiuliza eti mwanaume anaweza kaa mwaka mzima bila kudo?hapo si ni heshima tu na kuaminiana na kusahau yaliyopiata
aiseee hapan nakataa wanaume wenye ndo cc wa karne hiii heshima tu ndo inafanya uone ukopekeako
Kumbe chin ya kapet kuna mpango wa kando
 
Back
Top Bottom