Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,505
Ni kujilaumu tu,,na kulaumu huo umbalii unavyotesaGenye zilikuzidi ukawa huna jinsi bali kuvua picchu ili kuruhusu dushe lifanye vitu vyake!? Baada ya shughuli ulifurahia au ulijilaumu!?
Ni kujilaumu tu,,na kulaumu huo umbalii unavyotesaGenye zilikuzidi ukawa huna jinsi bali kuvua picchu ili kuruhusu dushe lifanye vitu vyake!? Baada ya shughuli ulifurahia au ulijilaumu!?
Ndio hivyo akili kumkichwaaaiseee hapan nakataa wanaume wenye ndo cc wa karne hiii heshima tu ndo inafanya uone ukopekeako
Kumbe chin ya kapet kuna mpango wa kando
Itakuwa walikuzidi nguvu wakagonga 0713 .........Habari wakuu, misukosuko ya mapenzi iliyonikuta ilinifanya nitende unyama mkubwa sana hapa duniani!
Yule mwanamke naamini hadi anaingia kaburini hata sahau ukatili niliomfanyia, hata awapo na mumewe au na wanawe hii sura lazima itabaki moyoni mwake tuu.
Ni jambo baya zaidi wakuu kwa historia ya nchi. Napata hata shida ya kuliandika hapa maana nahofia serikali isije kunibeba hapa.
Kwa tabia yake ya kujichanga na watu kibao na kujifanya marafiki zake nilipata habari ya uhakika na nilidhibitisha nilichokifanya hiyo siku nilimtafuta yule boya* alienilia tunda langu nikampa kipigo hatari mno japo alifanikiwa kuning'ata ila kipigo nilichompa hadi leo ananiheshimu na hili jambo limenipa heshima mbele ya jamii inayonizunguka.
Huyu mwanamke hakuwa na kwa kukimbilia na hasira ilienda kuishia kwake.
Ni tukio baya sana wakuu hivi nasema bora nisingemfania kwani najutia, nimejiwekea historia mbaya maishani mwang ila kwa kuwa ishatokea nitatafuta jinsi niisahamu hii hali au nimfate nimuombe msamaha tuu yaishe nafsi yangu iwe na amani.
HahahahajajaajajAliniambia nifumbe macho et ana suplyies anataka kunipa
Bass nikafumba akaniambia toa ulim njee
Nikatoa
Si ndio nikalambishwa ule mti wa Mhalovera tena ulikuwa ndio umetoka kukatwa
Umenichekeshaa we ulidhani anakupa nini?Walaai nakwambia
Nilichukizwa sana Siku iyo
Nilimcheat kwa sababu ya umbali,kachukia mpaka leo
Sitaki kesi hapa [emoji119],muone
We mbona ulimkimbiaaKumbe unamwogopa eeh...
![]()
NdimiUmenichekeshaa we ulidhani anakupa nini?
Ndio dhambi kubwa eti ila hatuwafikii wale wanaochinja wenzaoTeh nakuwaga na mswaki mmoja hivi special kwa ajili yao ,kila anayekuja anajua ni wake peke yake
Mwee Mungu nisamehe kwa dhambi hii
We mbona ulimkimbiaa
[emoji2][emoji2] ushawahi kufikiria kutumia mswaki wa mtu mwingine ?Ndio dhambi kubwa eti ila hatuwafikii wale wanaochinja wenzao
Wacha maneno weka mzikiiiiiiNilimkimbia mimi? Thubutu mali ya kutu!
Jamaniiii una dhambi kuzidii alqaeda weweee,,,si uwe kila anakuja unanunua mingiiii,[emoji2][emoji2] ushawahi kufikiria kutumia mswaki wa mtu mwingine ?
Mhh hii ni dhambi aisee