Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Leo wakati Mama Jenista Mhagama (Sijui hata Wizara yake) akijibu hoja za Mheshimiwa Mbowe kwa mbwembwe alijikuta akizomewa na Wabunge wote hasa wa CCM baada ya kusema Serikali inafanya mambo kwa "surprise" kama surprise ya kuwasomesha bure watoto wote hadi kidato cha NNE!!
Kwangu Mimi hii sio ishara njema kwa wana CCM, tulizoea kuwaona wakiwa pamoja hata kwenye mambo ya "vichekesho" lakini Leo hii eti wanamzomea Mama Jenista.
Hii sio kawaida something is wrong somewhere, huenda ushauri wa Mheshimiwa Lema wa Jana umeanza kuwaingia. All the best!!
Kwangu Mimi hii sio ishara njema kwa wana CCM, tulizoea kuwaona wakiwa pamoja hata kwenye mambo ya "vichekesho" lakini Leo hii eti wanamzomea Mama Jenista.
Hii sio kawaida something is wrong somewhere, huenda ushauri wa Mheshimiwa Lema wa Jana umeanza kuwaingia. All the best!!