Kitendo cha Shilawadu ni cha kulaaniwa

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,711
12,067
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.

Leo nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.

Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.

Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?

Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.
 
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.
LEO nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.
Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.
Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?
Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.

naungana na wewe! vipindi vingi sasa hivi vya TV vimeanza kukosa maadili, kama mamlaka husika haitochukua hatua zitasababisha mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa! jana nilijiuliza maswali mengi sana

1. Je kama mtu unaangalia kile kipindi na familia yako halafu mtoto mdogo akauliza kibamia ni nini? au kwanini wamevaa bamia?

2. Pili najiuliza tu je Kuwa na maumbile madogo ni hali ambayo mtu anajitakia au ni sababu za kimaumbile tu? kimtizamo wangu hii hali inatokana na maumbile ya mtu, na haipaswi kuchukuliwa kimzaa hivi! kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa kama mwingine hauhitaji fufanyiwa mzaha kiasi hiki!

3. je hivi vituo vya luninga wanafanya uhakiki wa vipindi kabla havijarushwa hewani?
 
naungana na wewe! vipindi vingi sasa hivi vya TV vimeanza kukosa maadili, kama mamlaka husika haitochukua hatua zitasababisha mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa! jana nilijiuliza maswali mengi sana

1. Je kama mtu unaangalia kile kipindi na familia yako halafu mtoto mdogo akauliza kibamia ni nini? au kwanini wamevaa bamia?

2. Pili najiuliza tu je Kuwa na maumbile madogo ni hali ambayo mtu anajitakia au ni sababu za kimaumbile tu? kimtizamo wangu hii hali inatokana na maumbile ya mtu, na haipaswi kuchukuliwa kimzaa hivi! kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa kama mwingine hauhitaji fufanyiwa mzaha kiasi hiki!

3. je hivi vituo vya luninga wanafanya uhakiki wa vipindi kabla havijarushwa hewani?
TCRA wameacha kazi yao ya msingi sasa wanajigeuza na kuwa TRA. Very bad
 
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.
LEO nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.
Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.
Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?
Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.

nimeangalia kipindi chote sijaona popote Shilawadu walipotoa ufafanuzi juu ya neno kibamia.


Le super kibamia anavuna alichopanda, huwezi kupanda kibamia ukategemea kuvuna tango.
 
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.
LEO nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.
Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.
Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?
Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.
Tumeyataka wenyewe,ngoja tule matunda ya upumbavu wetu.Mtoto aking'ang'ania wembe mpe.
 
Pandisha picha Mkuu!!
 

Attachments

  • 20180112_222523.jpg
    20180112_222523.jpg
    68.1 KB · Views: 95
naungana na wewe! vipindi vingi sasa hivi vya TV vimeanza kukosa maadili, kama mamlaka husika haitochukua hatua zitasababisha mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa! jana nilijiuliza maswali mengi sana

1. Je kama mtu unaangalia kile kipindi na familia yako halafu mtoto mdogo akauliza kibamia ni nini? au kwanini wamevaa bamia?

2. Pili najiuliza tu je Kuwa na maumbile madogo ni hali ambayo mtu anajitakia au ni sababu za kimaumbile tu? kimtizamo wangu hii hali inatokana na maumbile ya mtu, na haipaswi kuchukuliwa kimzaa hivi! kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa kama mwingine hauhitaji fufanyiwa mzaha kiasi hiki!

3. je hivi vituo vya luninga wanafanya uhakiki wa vipindi kabla havijarushwa hewani?
Mnapoteza muda mwenye nyumba anakifagilia kipindi hiki.
 
sawa..... je wakitumia neno bamia ni tatizo au kuweka kisifa ndio tatizo-kibamia...?
Kwa jinsi nilivyomuelewa mtoa mada,watoto hao hawatumii neno "kibamia" kama kisifa,wanalitumia neno "kibamia" kama nomino,kwa maana ya utupu wa mwanaume mdogo.Hapo ndipo tatizo lilipo.Sijui kama huku ndiko kukua kwa lugha ama vipi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom