Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,277
[h=6]Mwalimu mmoja wa shule ya msingi aliwaambia wanafunzi wake waulizane vitendawili. Wanafunzi wawili wakasimama kuulizana.,
MWANAFUNZI 1:"Kitendawiliiiiiiiii....."
MWANAFUNZI 2:"Teghaaaaaaaa...."
MWANAFUNZI 1:"Nivue nguo nikupe utamu...
Mwalimu kuckia hicho kitendwili akabaki ametoa mijicho huku ameduwaa akisubiri jibu kutoka kwa mwanafunzi wa 2!.
MWANAFUNZI 2:"Ndiziiiiiiiiiiiiiii......"[/h]
MWANAFUNZI 1:"Kitendawiliiiiiiiii....."
MWANAFUNZI 2:"Teghaaaaaaaa...."
MWANAFUNZI 1:"Nivue nguo nikupe utamu...
Mwalimu kuckia hicho kitendwili akabaki ametoa mijicho huku ameduwaa akisubiri jibu kutoka kwa mwanafunzi wa 2!.
MWANAFUNZI 2:"Ndiziiiiiiiiiiiiiii......"[/h]