Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Nauuliza Swali langu Kitendawili? Kuna Shetani alizungumza na Binadamu. je Huyo binadamu anaitwa nani jina lake? Naomba jibu kutoka kwenu asanteni........
Nenda kisha urudi unipe jibu langu bado ninalisubiri......Tega,iakuwa vizuri tumuulize shetan kwa vile wanajuana atatupa jibu,subiri kidogo nacheki naye nitarudi.
Khaaaa,mkuu nikimkosa je?coz simu yake inaita tu haipokelewi,labda niende fizikale!Nenda kisha urudi unipe jibu langu bado ninalisubiri......
nenda Fizikale tu hahahahhhhKhaaaa,mkuu nikimkosa je?coz simu yake inaita tu haipokelewi,labda niende fizikale!
Lol,yan ndio nirest in pic,ww unajua kbs yule utaratibu wake akufate asa ww unashuri nimfate,haki ya nani siendi hata nitishiwe kupewa BAN!nenda Fizikale tu hahahahhhh
Mkuu mbona hamnijibu swali langu? nauliza tena swali langu Kuna Shetani alizungumza na Binadamu. je Huyo binadamu anaitwa nani jina lake? Naomba jibu kutoka kwenu asanteni........MM - mzizimkavu
Unavyofikiria wewe lakinininavyofikiria mimini Tofauti kabisa. kama unashindwakujibu si bora usome na kupita njia tu kama gari lililo jaa abiria tu.Hizi quiz ni udhalilishaji wa kifikra.
UmenipelekaKaribu nakwetu lakini bado nataka unijibu swali langu Je ( Kuna Shetani alizungumza na Binadamu. je Huyo binadamu anaitwa nani jina lake? Naomba jibu kutoka kwenu asanteni........me siwezi nakupa mji, nenda msoga bagamoyo.
umekosea jaribu tena mkuuHuyo atakuwa Eva.AAA.
We nawe si utoe jibu sasa au wapiga ramli?umekosea jaribu tena mkuu
Unataka nitoe jibu tu kirahisi rahisi haiwezekani jaribu kunijibu swali langu?We nawe si utoe jibu sasa au wapiga ramli?
walizungumza mambo ya dini.Kwanza tuambie walichozungumza ili tupate mwanga!
Bado kuna wanachama wengi humu ndani kama wewe umechemka pole sana Narudia tena Swali langu ( Kuna Shetani alizungumza na Binadamu. je Huyo binadamu anaitwa nani jina lake? Naomba jibu kutoka kwenu asanteni........) Nawaombeni Tafadhali munijibumkuu tupe jibu basi, wote naona tumechemka.
hahahahah hujuwi kulijibu hilo swali umeshindwa wewe ndio maana unasema hivyoJibu nalifahamu lkn kwa mazingira haya jibu sitoi maana huenda wewe ni mjombake shetani. Nasepa.....