Watoto 2 walikuwa wamekaa nje ya clinic,mmoja wao alikuwa analia kwa sauti.MTOTO WA 2akimuuliza wa 1)kwanini unalia? MTOTO WA 1:Nimekuja hapa kupima damu.MTOTO WA 2:Unaogopa? MTOTO WA 1:Hapana,sio hivyo. Kwa kupima damu wamenikata mkono wangu!Mtoto wa 2 nae akaanza kulia. Mtoto wa 1 akashangaa.MTOTO WA 1:Unalia nn sasa? MTOTO WA 2:Nimekuja hapa kupima mkojo!uwiiiiiiii!