Wapi mumewangu wa ukwee swadakta mikono yako laini ikinipapasa ndo yanilaza mie kama mtoto mashalaah nakukumbatia wewe
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Habari
Wakati umelala kitandani hua unakumbatia nini?
1.pillow/mto
2.mwenzi wako
3.doll
4.kitabu cha imani
5.unajikumbatia mwenyewe...
ahiaji ushauri wako duu mwenyekitieti...!!???
Dena Amsi naomba niongee na mama watoto wanu Evelyn Salt leo mambo yakienda poa naku add as nyumba ndogoNyie watu nyie hayeni tu mi sitaki uchokozi mjue
Dena Amsi naomba niongee na mama watoto wanu Evelyn Salt leo mambo yakienda poa naku add as nyumba ndogo
si huyo huyo Dena Amsi ananifuata fuata mie nimemwambia nina mke yeye kaniganda tu kama gundi sijui kwa kuwa siku kuu ipo karibu? my love Evelyn Salt love u saaana!!!!!!!!!!endelea tu........unantafuta maneno!!!!!!!!!!
Arushaone ongea taratibu nimemuona mke wangu Evelyn Salt anatuchungulia nisije tupiwa mashati yangu nje.
Mmmmh,acha hizn bhana
vyote ulivyotaja vyahusika except no.2