kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,374
- 9,163
Habari za saa hizi wana MMU.
Kuna jambo limekuwa likinitatiza maana kuna jamaa yangu mmoja alikuwa akiishi na wanawake wawili, na wote alikuwa akilala nao kitanda kimoja sasa swali ni kwa wadada hivi kweli watu waliostaaribika (ondoa madada poa ambao wanaweza fanya lolote kwa sababu ya pesa) wanaweza kufanya jambo kama hili.
Kuna jambo limekuwa likinitatiza maana kuna jamaa yangu mmoja alikuwa akiishi na wanawake wawili, na wote alikuwa akilala nao kitanda kimoja sasa swali ni kwa wadada hivi kweli watu waliostaaribika (ondoa madada poa ambao wanaweza fanya lolote kwa sababu ya pesa) wanaweza kufanya jambo kama hili.