Kitanda kimoja na wanawake wawili

Kitanda kimoja na wanawake wawili

Jana nilikuwa napitia file lile la manaiki sanga, nimeona yeye ameweza kulala na mpaka wanawake watatu kwa mara moja!!!

Sijajua kama wale ni madada poa ama la, ila nilikua najiuliza ni jinsi gani huyu kijana katumia ushawishi wake mpaka kuwalala hawa mabinti wengi kwa pamoja!

Haya mambo sometimes yanawezekana! Siku hizi wanawake wametiliwa ngumu kuolewa! So akipata kinafasi, anakiganda kama kupe!!!!
 
Jana nilikuwa napitia file lile la manaiki sanga, nimeona yeye ameweza kulala na mpaka wanawake watatu kwa mara moja!!!

Sijajua kama wale ni madada poa ama la, ila nilikua najiuliza ni jinsi gani huyu kijana katumia ushawishi wake mpaka kuwalala hawa mabinti wengi kwa pamoja!

Haya mambo sometimes yanawezekana! Siku hizi wanawake wametiliwa ngumu kuolewa! So akipata kinafasi, anakiganda kama kupe!!!!

Naona kama kutojielewa kwa kina dada/wanawake. Hata kama ni ndoa za mitala ni vyema kila mtu awe na kwake.

Mtazamo wangu tu ndo maana nikataka kujua na wadau mnasemaje.
 
Hicho kiama unabii unatimia na baaaaaadoooooo hata 10 inawezekana ..................


HIZO NI ISHARA ZA UNABII UNATIMIA .IMEANDIKWA NDANI BIBLE.
..
 
Kitanda kikubwaje? Mimi 6x6 hakitoshi na mpenzi wangu

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Back
Top Bottom