MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,330
Mkuu!
Unavikumbuka vya aina hii nini?
![]()
Hii mambo mnanivunja mbavu sasa. Hivi hapa si mitaa ya Korogwe kwa Mh. profesa Maji marefu(Mb) hapa?. Bado vinatumika au hii ni archive ya kumbukumbu za mambo ya kale?