Kitambulisho kimeokotwa: Cha mwanafunzi wa Education - UDSM

Kitambulisho kimeokotwa: Cha mwanafunzi wa Education - UDSM

umande

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
313
Reaction score
164
Jina la kitambulisho AHMAD, Hussein. Sambaganya
Programme: B.A with Education
Chuo: University of Dar es salaam
College: CoHU

Kwa anayemjua Tuwasiliane 0784202710

Yours' Faithful, MUOKOTAJI
 
Safi mkuu kwa wema wako, ila vitambulisho vya UDSM vina namba ya simu ya mwenye Kitambulisho kwa chini, jaribu kumtaarifu.
 
Safi mkuu kwa wema wako, ila vitambulisho vya UDSM vina namba ya simu ya mwenye Kitambulisho kwa chini, jaribu kumtaarifu.
Namba ya simu...basi wako vizuri
 
Wapo mlimani city, kwenye fresher party. Peleka pale wakitangaze...
 
Jina la kitambulisho AHMAD, Hussein. Sambaganya
Programme: B.A with Education
Chuo: University of Dar es salaam
College: CoHU

Kwa anayemjua Tuwasiliane 0784202710

Yours' Faithful, MUOKOTAJI
Uyo leo kakosa freshers ya makonda bila kitambulisho haingii
 
Safi mkuu kwa wema wako, ila vitambulisho vya UDSM vina namba ya simu ya mwenye Kitambulisho kwa chini, jaribu kumtaarifu.
Namba anapoke mtu mwingine kabisa, na wala hamujui huyo mhusika
 
WCB, fid q,ay,mwanafa,ruby,bilnass,mpoto,rayc,jayd,na wengneo mlioongozwa na bashite ona sasa mlivo wachanganya wana vyuo hadi I'd znaokotwa hkooo
 
Peleka kituo chochote cha police hapo Dar watamfikishia au kipeleke hapo UDSM kama upo karibu mwachie katibu muhitas atampatia. Inawezekana hayupo huku jamii forum hivyo usitegemee asome tangazo lako

Asante
 
Usiku huu atakua anakula "bata" iliyoandaliwa na bashite, kesho atakutafuta
 
Back
Top Bottom