mkuu sema unashangaza sana unapopinga vitu dhahiri ambavyo tumesoma .nimefikia viwango vizuri vya shule na madrassa pia ila fanya utafiti kidogo utajinea mwenyewe
kama unakwenda shule uliza maswali haya
proof of gravity
proof of earth spinning(usiku na mchana sio proof) ulizia kama kuna aina ya kipimo kilowahi kuthibitisha spin
proof sun is 93mil miles
ni wapi imewahi kutokea maji yakawa na mpindo(yaani ukitia maji kama kwenye glass yakawa na uvimbe wa juu kuonesha mpindo
maswali yapo mengi ulizia hayo tu kwanza
Kinatumia nuclear energyKilometre 18b + hiki chombo kinatumaje taarifa duniani ? yaani ina nguvu ya kiasi gani ya kutuma mawasiliano hadi duniani ?
The earth is a sphere.mkuu hebu niletee hapa picha ya dunia flat ambayo si yakutengeneza
kama ni propaganda ni kivipi urusi,china,marekani,india na nchi nyengine watudanganye kuhusu haya..? yani manchi yote hayo yasomeshe wanafunzi wao uongo mtupu! kwa malengo yapi..?
mbona nikiangalia video za wale wanaoruka na maparachuti wakiwa angani kwa kiwango flani naona uduara..? na si nimeangalia video moja no ni zaidi ya moja.
Mkuu ongea kisayansi zaidi.ZENJIBARIA
kuna mdau
humu
nilishawahi
kuchati nae
na nilikuwa
sifahamu kama yupo
nchi za nje
ktk
mazungumzo
yetu
niligundua we are different
in time
(alinambia
kule ilikuwa
imefika usiku
so alikuwa anataka
kulala) yani
huku ilikuwa
mchana kule
usiku
unalizungumz iaje hili..?
na kuhusu
hiyo allien
belt
unazungumzi
a viumbe allien ama..? na kwanini watudanganye wanafanya hivyo kwa manufaa yapi..?
Hiyo picha haioneshi operation ya juavan allen belt ni ukanda wa magnetic field ambao upo juu umeizunguka dunia kwa maelezo yao, inaitwa belt kwa sifa hio ya ukanda uliozunguka dunia,
na kuhusu tafautiana time ya sehemu moja na nyengine hii ni subject yake peke yake ili uweze kuifahamu, cha kwanza kuelewa ni time ni nini hasa,whats is time exactly? time inasababishwa na nini,
kwa mitazamo yetu ya haraka tunapima time kwa kutumia jua linapochomoza na kutua na vile vile kisasa tunatumia saa
lakini jua linazama vipi na linachomoza vipi wakati dunia sio duara,wakati ikiwa hatulioni unapokuja usiku jua linakwenda wapi,hii kwanza tufahamu kuzama na kuchomoza kwa jua katika kila eneo,manake kila eneo lina time zake za kuzama na kuchomoza kwa jua.
kujua jua linachomoza vipi pasipokuwa na duara la dunia ni lazima ufahamu law of perspective, uwezo wetu wa kuona yaani vipi macho yetu yanaona
itazame hii picha ya chini hapo ichukulie wewe umesimama hapo mwanzo wa picha kisha unaangalia mwisho wa hii koridoo
kama utachunguza utaona sakafu inapanda na dari inashuka na kuta za pembeni zinajikunja kuja katu kadri ya koridoo inavozidi,mwisho wa koridoo hii kunakuwa kudogo sana yaani kumejikunja na hapa mwanzo pako kama kawaida,ki uhalisia hii koridoo iko sawa kuanzia mwanzo hapa mpaka mwsho kule yote ipo sawa lakini macho yetu ndio yanaona namna hii mwisho wa upeo wako kunakua kudogo mpaka kunatoweka kabisa
ichukulie hizo taa za juu hapo kama ndio jua linasafiri angani kwa namna unavyoliona wewe na macho yako,jua litakwenda mpaka mwisho wa upeo wako kwa hapa litazame linavyoshuka kuifata koridoo jua litaonekana kama linazama lakini kiuhalisia halizami ila linatoweka kwenye upeo wa macho yako tu kama huo mfano wa taa na hii koridoo,hivi ndio tunavyoona jua linazama au kuchomoza na tukazani linakwenda chini ya duara la dunia lakini uhalisi ni kuwa linazunguka juu ya uso wa dunia na sio kwenda chini
View attachment 462172
mzunguko huu wa jua juu ya uso wa dunia ndio unaosababisha time za kila maeneo kuwa tafauti baina ya maeneo kwa vile linapotoweka kwenye eneo letu tunapata magharibi na usiku kuingia na jua linaanza kuonekana kwenye maeneo mengine na hapo ndio wanapata alfajiri yao na mchana kenedelea kwa muangaza wa jua
Ndugu yangu naona una lack knowledge ya jinsi gravity inavyofanya kazihivo ndio tunavyofundishwa kuyaona mambo yote,tunafanya kama wadogo na hatuna maana,lakini kama bacteria akiwa na uwezo wa kuruka na kwenda juu ya chungwa inabidi awe na uwezo wa kuliona chungwa kama lilivyo ila sisi hatujawahi kuliona chungwa hili,jaribu kupitia mada zote nlizoandika kwenye huu uzi
Pole mkuu kuna satellite phoneshapa kuna vipi tunajaribu kuviziba kwenye akili zetu,na mara nyingi hatutii akilini kwasababu haziwezi kuingia kwenye akili zetu,
hebu jaribu kuitia akilini distance
dunia nzima yote ina circumfrence ya 25000 miles (sio milioni)
halafu ufikirie mile milioni moja
kisha mile milioni tano,kisha mile milioni 100 kisha 500 milion miles
hizi distance sio za kuongea tu ni kubwa kuliko uwezo wa akili zetu
mpaka leo 2017 hakuna hata technologia moja inayoweza kutuma kitu chochote masafa hayo.na wala haitawahi kutokea milele technology ya aina hii,kwa sababu hizi distance zote sio za kweli,akili zetu zimefungwa sana tukaweza kuamini vitu hivi
hizi simu za mikono tunazotumia hapa savi zote zina minara killa baada ya 100km,ukitoka nje ya uwezo wa mnara hupati network,mawasiliano ya dunia nzima yanapatika kwa kutumia cables zilizo chini ya bahari na sio satelites za wireless kama watu wengi wanavyodhani
simu ikipigwa kutoka china kuja tz haziji moja kwa moja zikanasa anntena za tz, zinashika antenna za kwao huko kisha zinapitia kwenye wire ambazo zipo chini ya bahari na zinaleta mawasiliano kwenye antena ya tz na antena ya tz inaunganisha kwenye simu yako,hivi ndio mawasiliano yote yalivyo kila kitu mpaka internet yote. technology inayotumika ni ile ile ya zamani ya simu za majumbani, saivi wameweka antenna zenye nguvu za wireless kwa kutumia simu za mikono hio ndio tafauti.
kwanini hushangai kwanini mpaka leo africa bado hakuna internet yenye viwango kama nchi za nje kwa sababu internet zetu bado zinatumia line za simu ambazo ni slow saivi pengine ndio wanafanya mabadiliko ya kuweka cables za chini ya bahari kwa jili ya internet za viwango vya juu,kama interenet inatokana na satelites dunia nzima tungekuwa na internet speed ya aina moja mpaka vijijini kila pahala kungekuwa na network bila ya kutumia minara.
Sio kweli, thermoelectric generator haibadili heat kuwa umeme Bali inazalisha umeme kutokana na temperature differences kati ya end point moja na nyingine, kitendo cha kuwepo cha kuwepo utofauti wa heat kunasababisha kutokea kwa electric field.nafikiri hapa ndipo tumechengana polonium ni zalisho la uranium ambapo hiyo plutonium ndio hutumika kwenye hizo probe hicho kifaa ndo kinachange hiyo heat inayozalisha na plutonium kuwa umeme
Bora tu hata tutawaliwe, hicho kiumbe kitakachokuwa na akili na teknolojia kubwa kushinda binadamu wa dunia hii kitakuwa hatari sana na waweza kutusaidia mengi.ha ha! mkuu kila jambo lina uzuri wake na ubaya wake... kitendo cha kuwekwa golden record kwenye voyager 1 ambacho kina taarifa zetu na mahala tunapopatikana kwenye galaxy kiliibua mjadala wa vipi ikiwa taarifa hizo zikaangukia kwa viumbe wabaya..? i mean viumbe ambao wanaweza kuja kuleta madhara duniani! hili nalo linatakiwa kuangaliwa maana tunaweza kuingia matatizoni kwelikweli ama tukapigwa cha chembe na baadhi wa watu kuwa kuna viumbe vimekuja kwa ubaya baada ya kupata zile information!
na ikiwa kama ni kweli kama tutashindwa kupambana navyo kuna kuharibiwa kwa dunia ama kutawaliwa!.
ha ha! mkuu kwanini unaona vyema dunia itawaliwe..?Bora tu hata tutawaliwe, hicho kiumbe kitakachokuwa na akili na teknolojia kubwa kushinda binadamu wa dunia hii kitakuwa hatari sana na waweza kutusaidia mengi.
Swali langu ni kuwa, hivyo viumbe vinategemewa vipatikane kwenye deep space au kwenye moja ya sayari kwenye nyota gani?
kuna mambo mengi sana ya kuangalia ambayo yatakuonesha kuwa elimu yote ya space na uhalisi wa dunia ilivyo ni uongo
- wanasema dunia ipo duara kama chungwa lakini ndege zikiruka hazizunguki chungwa zinafika angani zinaweka cruising speed na zinakwenda straight hazilazi pua chini au juu kulizunguka chungwa ambayo ndio shepu ya dunia
-wanasema dunia ni shape ya chungwa kwa hio kila pahala patakuwa na mpindo ili kupara shepu ya chungwa kwa maana hio ukiwa dar zanzibar huwezi kuiona popote kwa maana itakuwa upande wa pili wa mpindo wa dunia na hii zipo formula zake ambayo kwa masafa ya dar to znz ni kama 44km mpindo wa maji ulikuwa uwe kama ulikuwa uwe atleast 60m
-pia hivi majuzi wamesema wanajiandaa ili waweze kutoka kwenye low-earth orbit na waweze kupeleka watu outer sapce wakati mwanzo wamesema washapeleka watu kwenye mwezi ambayo upo beyond low earth orbit.
-sifa moja kuu ya maji popote yalipo ni lazima yawe level,maji hayawezi kupinda kufanya duara,kwa hio hilo duara la dunia maji yanapinda vipi kuweka shepu ya duara,maji ni lazima yatafute level kwa namna yeyote ile,
gravity ni uzushi ,kama gravity ndio inayozuia vitu hapa duniani iweje ndege iliyo ndogo na nyepesi iweze kuishinda gravity na iruke wakati bahari iliyo kubwa sana nzito kuliko kitu chochote hapa duniani isiweze kuishinda gravity'
au kwanini gravity iruhusu mabofu yende ngani wakati vitu vizito zaidi vipeshikwa na gravity
ki uhalisia hakuna aliyewahi kufika mwezini na mwezi haupo na ardhi kama ilivyo hapa duniani,sayari zote picha tunazoziona online sio halisi ni michoro tu, picha halisi hazipo clear kama wanavyoonesha hio michoro
mambo ni mengi sana ntarudia tena mengine
Hahahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa ana furahisha sanakurudi chini kwenda wapi? au hujui hakuna sayari iliyojuu wala chini
Kama una slight knowledge of the universe basi unatakiwa kujua every thing in it moves away kwa rate ya Hubble constantSijui Imani yako but naona umesema uumbaji wa Mungu so unaamini kuna Mungu.
Then kamsome Joshua jinsi alivyosimamisha jua ndio utajua kipi kinazunguka kati ya jua/mwezi na hii dunia...
hakuna voyager wala hakuna space exploration hizi zote ni propanganda za uongo mtupu,yote haya ni makatuni ya kuchora,picha zote za space sio za kweli na picha za dunia zote zilizo online zote ni uongo mtupu zote za kuchora hakuna picha ya dunia iliyo kweli,tunavyosomeshwa ni propaganda tu hali halisi ya dunia ilivyo haijasemwa ndio maana tunaaminishwa hizi fantasy
Tufahamishe kuhusu dunia na umbo lakehakuna voyager wala hakuna space exploration hizi zote ni propanganda za uongo mtupu,yote haya ni makatuni ya kuchora,picha zote za space sio za kweli na picha za dunia zote zilizo online zote ni uongo mtupu zote za kuchora hakuna picha ya dunia iliyo kweli,tunavyosomeshwa ni propaganda tu hali halisi ya dunia ilivyo haijasemwa ndio maana tunaaminishwa hizi fantasy
Huyu jamaa mbishi wa level ya PhD atapinga hata kuwepo kwa Magufuli kama Rais wa Tanzzania....... ni mengi sana ntarudia tena mengine
Let them be number one cause we learn everything from themni kweli na hayo mengi yapo kwenye bongo zetu
ha ha! ndio maana majamaa yametutangulia sana tu wkt sisi tunahangaika na njaa,vita,ukeketaji,umaskini n.k wenyewe wanawaza mbali mno they will continue to be number one!
hahaha nna masters kwenye fani ya ubishi,๐๐๐Huyu jamaa mbishi wa level ya PhD atapinga hata kuwepo kwa Magufuli kama Rais wa Tanzzania.