Kitambue chombo VOYAGER 1

nimemaliza elimu ya dini na elimu ya dunia nnayo ya juu kidogo, jaribu kuzipitia post nlozojibu kwenye huu uzi unaweza kufahamu baadhi ya mambo nnavyoyaona mimi
na sio kama napinga ila natoa mitazamo na maswali kutokana na hisia zetu tu
Wews hautumii hisia bali unatoa ambayo flat earth society wanaamini... ndio maana mfano wako wa corridor ndio ule ule wa yule jamaa aliyekuwa anafanyiwa interview, simkumbuki jina... anadai kwamba jua liko mile 3000... hahahahaha, mile elfu 3000... tungeweza kuhimili ukali wa jua??? Ninachojiuliza amederive vipi kupata hiyo 3000??
 
Amka usingizini
 
UKIFUATISHA THREADS ZA ZENJIBARIA UTAONA SEHEMU ANASEMA
ANAVYOFIKIRIA YEYE, KUMBE MAMBO YOTE NA MIFANO YOTE ANAYOTOA INATOKA KWA FLAT EARTH SOCIETY....
 
ukiona kijana anasema hivi..." amefundishwa kwamba binadam ametokana na nyani".. basi mtu huyu atakuwa hakuelewa vizuri au amefundishwa na mwalimu ambae nae hakuelewa vizuri.

Inasemekana kwamba binadamu na nyani wametokana na common ancestor..... hii haina maana kwamba binadamu ametokana na nyani. Alafu hii ni theory bado haijawa fact so isiwe kigezo cha kuitumia theory hii kama kielelezo cha ukweli.... (in science tunafundishwa vyote theory na laws.. kwanini theory kama hizi zinafundishwa darasani?? Ni ili ziweze kuendelezwa na kufikia kwenye fact (basis).

So tusijifanye tunawaponda hawa jamaa wakati applications za tafiti zao ndizo tunazozienjoy kama vile cars, simu, pc, aeroplanes, ships, x-rays, electricity,internet, megastructures like large buildings, islands, bridges, extraction of oil and gas, etc.
Embu kila mmoja wetu ajaribu kuangalia sehemu ulipo sasa hivi... kuna vitu vingapi vimetokana na science???? Kama science inasema uwongo inakuwaje kwenye applications za sayansi??? Don't underestimate the effort that science has made so far as if hatuoni mafanikio yake.

Inawezekana bwana Zenjibarie simu /computer yako umedanganywa na kwamba sio real.
 
Mkuu baada ya chombo hiki kuzima 2020 nini kitafatia, kuanguka, kuganda eneo moja au kitaelea maeneo mbalimbali? Pia hadi muda husika 2020 kitakuwa eneo gani?
 
Du, hatari! Wakati wengine wanafikiria 'kuvitaarifu viumbe wengine' kuwa kuna binadamu sisi tunaamini kwa dhati kabisa kuwa akina Lijuakali, Mathew. Lema nk ndio tatizo na lazima washike adabu!
Na kama kuna viumbe wengine huko wao warejeshe taarifa zao pia kwa kheri maana wakituchenchia patakua hapatoshi tunaweza kuwa vitoweo.
 
Mkuu baada ya chombo hiki kuzima 2020 nini kitafatia, kuanguka, kuganda eneo moja au kitaelea maeneo mbalimbali? Pia hadi muda husika 2020 kitakuwa eneo gani?
kitakapozima kwa kuwa kipo kwenye motion kitaendelea hivyohivyo labda kigongwe na kitu ndo kinaweza kustop au kuchange motion..means that kitakuwa kinaelea tu,kuhusu kuanguka eg kuja duniani hiyo mmmmh! itakuwa mshikemshike kipo mbali mno hata kimeshatoka kwenye mfumo wa jua letu lkn endapo kikapita karibu na kitu chenye nguvu ya uvutano kitavutwa na kudondokea kwenye hicho kitu..
kuhusu 2020 sijui kitakuwa eneo gani.
 
"KENZY, post: 19473648, member: 345804"]ha ha! mkuu wewe umemuelewa..?
kama upo kwenye dunia flat kwanini mawingu yaonekane yanaumbo la kiduara..?
alisema kwamba kila kitu kuhusu space is wrong! ha ha ha hata nyota huenda tunaona maruerue tu kama ndo hiQUOTE]

Mawingu gani hayo yanayoonekana ya duara. Kama haujawahi panda ndege sawa ila mawingu yapo katika hali ya utambarare uliza marubani
 
Mkuu naomba unielezee kuhusu hyo dwarf planet ya Pluto na sababu za kuiondoa katika planets...!!!
 
ha ha! mkuu kadri unavyozidi kusogelea kitu ndivyo umbo lake linavyozidi kupotea kimuonekano lkn inategemea na size.. mawingu yanafuatisha umbo la dunia kama ni flat mean yangeonekana ki flat(hapa nasemea yakiwa yamesambaa kote) lkn ukisimama ukayaangalia kuanzia utosini mwako mpaka upande mwengine utaona mshuko wa kiduara jaribu kufatilia utaona mkuu.
 
Mkuu ikiwa katika mwezi hakuna ardhi ya kuweza kutua kama hapa duniani, je mwezi upo katika hali ipi?
 
Ngoja nikuulize tu japo huwenda maswali yakawa ya kipuuzi.

Mfano- Ndege ikiruka kutoka hapa tanzania na kuelekea uelekeo mmoja bila kupinda kona mwisho wake utakua ni upi?

Dunia inazunguka bila viumbe kupata madhara sababu ya gravity, hii gravity ina vipimo vyake maalum kujua kama inaongezeka, inapungua au ipo katika hali moja?
 
Mkuu ikiwa katika mwezi hakuna ardhi ya kuweza kutua kama hapa duniani, je mwezi upo katika hali ipi?
Mkuu mwezi una ardhi sema hauna atmosphere unaweza ukatua bila wasiwasi ila utatajikuta upo katika jangwa la lenye mchanga mweupe.
 
Garavity iendana na mass katika dunia yetu hii ipo katika hali moja ila viumbe vya baharini vinapata madhara kidogo kutokana gravitation pull ya mwezi wetu.
 
Na kama kuna viumbe wengine huko wao warejeshe taarifa zao pia kwa kheri maana wakituchenchia patakua hapatoshi tunaweza kuwa vitoweo.
ha ha! hili jambo linamchecheto hasa kama wapo bora wawe maboya ili tuwashinde lkn kama wakiwa wako vizuri kisayansi wakiweza kudestruct nguvu ya uvutano kati ya jua na dunia hilo litakuwa pigo kubwa maana dunia itakosa muelekeo hapo ndo hekaheka,wkt sisi tunawaza kupigania siraha ila yenyewe hivyo tu ndo yamemaliza! ha ha ha utajuta kuzaliwa๐Ÿ˜ฑ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ