mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Iran wao watacheza na Petrodollar tu,tutaona nani ni nani.Israel will be more than happy to help the invassion na wao watakimbilia vinu vya kurutubisha URANIUM TU
Iran wao watacheza na Petrodollar tu,tutaona nani ni nani.Israel will be more than happy to help the invassion na wao watakimbilia vinu vya kurutubisha URANIUM TU
Iyo Washington DC unaifanananisha na DDC Clubs ya KariakooooSisi watu wa Persian tutaisambaratisha Washington Dc yote iwe mavumbi.
Wakati wa vita petrol dolla haina kitu kwanza sio mzalishaji pekee wa petroliIran wao watacheza na Petrodollar tu,tutaona nani ni nani.
Petrodollar unajua maana yake kwanza?Wakati wa vita petrol dolla haina kitu kwanza sio mzalishaji pekee wa petroli
Ndio ivyo mkuuu, umu kuna wayahudi,wairan, wamarekani, wasaudia, wairaq na wayemeni wanaotokea mbagala,mwananyamala, manzese,tandale, kigogo na yombo buzaJf kuna vichekesho
Petrodollar unajua maana yake kwanza?
Saudia inajua kuwa Houthis hawana uwezo wa kufanya waliyoyafanya. Ni lazima walisaidiwa. Walisaidiwa na nani? Hapo ndipo concentration yote ilipo. Wa kwanza anayenyoshewa kidole ni Iran.Kwa nini unasema visima vya Saudia vimeshambuliwa na Iran wakati Houthis wamekiri ni wao. Jaribu kufatilia source tofauti tofauti za habari. Main stream media wanapotosha sana kwa maslahi wanayojua wao
Dominance ya $$$$ as mostly popular currency unadhani inatokana na nini?petrodollar
/ˈpɛtrəʊˌdɒlə/
noun
- a notional unit of currency earned by a country from the export of petroleum.
UPO VITANI I MEAN REAL WAR HII INAKUSAIDIA NINI????
WE JAMAAA BHANA!!!!!Dominance ya $$$$ as mostly popular currency unadhani inatokana na nini?
Usiamini sana hilo. Mataifa yapo makini sana kutojiingoza katika vita visivyokuhusu moja kwa moja kuogopa madhara utakayoyapata kiuchumi.Wamguse waone..
Iran ana backup ya Mrusi na Mchina ambao ni bitter rivals wa marekani
WE JAMAAA BHANA!!!!!
MI NAZUNGUMZIA NGEGE ZIMESHAKUZUNGUZ, VIFARU KILA KONA, MELI ZA KIJESHI ZIPO PWANI YAKO.
PETRODOLLAR UNAITUMIAJE???
Na Iraq, kivita was far ahead Iran.Mlisema hivi hivi 2003 wakati iraq inachapwa mara mstari mwekundu mara makombora matokeo yake yule mzee kajificha kwenye shimo nchini kwake.Hakuna taifa kwa sasa linaweza kupigana na USA.Jifariji tu
We ni BUREKABISA , hiyo petrodollar wenzaka IRAQ na LIBYA walipigwa na dunia ilisavaivuKama hujaona effects za vita vya Iran kwny petrodollar nadhani hustahili kua humu.
We ni BUREKABISA , hiyo petrodollar wenzaka IRAQ na LIBYA walipigwa na dunia lisavaivu
usitumie kama excuse
Interests na priorities.Ok. Kinachomfanya Marekani hasite site kumshambulia Iran ni nini ?
Uongo wa level ya master degreeHata Saddam Hussein alikuwa na backup ya Mrusi na Mchina lakini mwisho wake uliishia kuchomolewa kwenye mahandaki.
Vikigusa tu anga ya Iran havirudi tena USAdrone: USA
nuclear bomb : USA
USS tommahk : USA
F35:USA
B52:USA
what do you want? ??
DuuuhKwani America kapigana vita na Vietnam na Somalia tu. Jaza nyama taja na nchi zingine si hizo tu ulizotaja. Kuhusu Vietnam hasara waliopata wavietnam ilikuwa kubwa sana kuliko hicho unachodhani kuwa walishindwa pia vita vya somalia havikuwa na maslahi kwa marekani ndipo akaamua kujitoa. Nitajie kipi marekani angefaidi pale somalia km ww unavyofikiria?











Kwatafsiri hii nikwamba no war btwn US nd IRAN Maana hakuna siku biashara ya wese itasimama etii ?!Wanasita kwa sababu ya bihashara ya mafuta itaingia kwy kuporomoka vibaya sana, maana saudia anazarisha 10% ya mafuta ya dunia, sasa kuingia kwy vita bila kuangalia upande wa bihashara unakuwa mtu wa kukurupuka sana,
Kama kawaida yake Israel Mzee wa kuvizia ingawa anamuogopa muajemi ana Kwa ana.Israel will be more than happy to help the invassion na wao watakimbilia vinu vya kurutubisha URANIUM TU