Kitachompata Iran, kitaweka Historia

Let be serious
Iran haiwez mpiga mmarekani lakin iran ina weza mumiza mmarekan na washirika wake..
Lakin sio kumshinda mmarekan kwenye vita

Mi naamin hawa wairan watakuwana silaha za nyukilia.. Ndio kinacho wapa kiburi
Wanajua mmarekan aki wa attack nao wata mrushia mabomu kwake na Saudi arabia
Ila in long run Iran ha stend a chance kwa Mmarekani

Kuhusu Urusi na China hawa ni wababaishaji.. Wanajua
Gharama za vita ndio maana hawataki jiingiza kwenye
Vita.. Watapiga porojo tu ila vita ikianza watakuwa mbali

Mmbabe ni Mjeruman siku akipata kiongoz kichwa maji dunian
Hakuta kuwa na amani

Vita ya kwanza na ya pili ya Dunia ni mjeruman, huyu ndio kichwa maji akiamua
Kufanya anafanya.....
 
Akipigwa mtakuja kusema ooh USA wakorofi,endeleeni kuwapump Iran wajidai wako fit Kama jiwe,then Wale kipigo cha mbwa koko Kama Nagasaki,wajapani waliposanda.
Kila siku wanaishia kupiga biti tu, si wafanye kweli kama wanaweza? Wameweka mavikwazo ya kuzidi na bado nyuklia wanatumia kama kawaida na hawatishiki. Iran anajiamini na anachofanya. USA wanatafuta wamefyata saizi wanaishia kujipendekeza kwa waarabu kumtuhumu Iran.
 
Umesahau kitu kuwa john Bolton ndio alimpgia magoti DT atengeu komand
Mikwara ya marekani, ile meli wamerekani walitaka kuikamata adrian darya 1, ilienda ikatia nanga syria na kupumzika hapo kisha kuelekea Mediterranean na hamna aliyeigusa pamoja na vitisho vyote vya us...us walaini sana kwa mhajemi
 
Aisee unalinganishaje marekani na Irani linganisha iran na saudia
Kwahiyo unadhani us anaweza kumpiga iran kama wewe unavyomchapa mdogo wako hapo kwenu?its a big men fight mzee, hamna mwenye uhakika wa kuchomoka hapo
Screenshot_2019-09-17-20-41-22.jpeg
 
Saudi anazo destroyer Irani hana Iran ni mweupe kama manara tu
Let be serious
Iran haiwez mpiga mmarekani lakin iran ina weza mumiza mmarekan na washirika wake..
Lakin sio kumshinda mmarekan kwenye vita

Mi naamin hawa wairan watakuwana silaha za nyukilia.. Ndio kinacho wapa kiburi
Wanajua mmarekan aki wa attack nao wata mrushia mabomu kwake na Saudi arabia
Ila in long run Iran ha stend a chance kwa Mmarekani

Kuhusu Urusi na China hawa ni wababaishaji.. Wanajua
Gharama za vita ndio maana hawataki jiingiza kwenye
Vita.. Watapiga porojo tu ila vita ikianza watakuwa mbali

Mmbabe ni Mjeruman siku akipata kiongoz kichwa maji dunian
Hakuta kuwa na amani

Vita ya kwanza na ya pili ya Dunia ni mjeruman, huyu ndio kichwa maji akiamua
Kufanya anafanya.....
Screenshot_2019-09-17-20-41-22.jpeg
 
Tulia uone kama trump atamuacha ayatollah amekalia kiti
Kila siku wanaishia kupiga biti tu, si wafanye kweli kama wanaweza? Wameweka mavikwazo ya kuzidi na bado nyuklia wanatumia kama kawaida na hawatishiki. Iran anajiamini na anachofanya. USA wanatafuta wamefyata saizi wanaishia kujipendekeza kwa waarabu kumtuhumu Iran.
 
Mlisema hivi hivi 2003 wakati iraq inachapwa mara mstari mwekundu mara makombora matokeo yake yule mzee kajificha kwenye shimo nchini kwake.Hakuna taifa kwa sasa linaweza kupigana na USA.Jifariji tu
Iraq(sadam) alikuwa mshirika wa muda mrefu sana wa USA kivita ,hivyo USA alimjuwa vizuri Iraq, lakini siyo kwa Iran , Angalia tuu hapo Syria mambo yalivyo!
Jiulize;
Kwanini Israel IPO kimya!
Saudi ana maadui wengi Asia ya kati haswa huu utawala uliopo hauna uungwaji mkono sana hata na wasaudi wenyewe na waarabu pia.
 
Leo nimeona Trump karudisha sanctions dhidi ya Iran. Na pia Saudi baada ya visima vyao vya mafuta kushambuliwa na Iran majuzi tu, wameamua kutengeneza press conference kabisa na ushahidi. Kwa wenye uelewa hapa tunajua kwamba Iran anatengenezwa justification ya military attack ili akivamiwa dunia isilalamike. Yetu macho.......
Mkuu kwa hali ilivo Trump can do NOTHING juu ya Iran.
Iran si Syrian au Afghanistan.
Marekani inajua fika ukiipiga Iran kuna vi nchi kama Dubai(UAE), Abu Dhabi na hata Saudia vitaangamia vibaya.

Marekani waliingia kichwa kichwa Afghanistan na Syria na hadi leo hawajafanikiwa malengo yao, hivyo wakiiongeza Iran, taifa kubwa ,kutawaka moto.
 
yaani wakitaka wakipate kilichomtoa kanga manyoya wathubutu ku wage war against Iran
kuna wadau wanamtamani marekani wamdunde ila bado nao hawajapata sababu....
Jaribuni kutafuta uelewa,swala la kumpiga Iran litaamliwa n'a UNSc kwa mujibu wa ibara za 39,41,42 na 51 za mkataba wa UN.Kanuni za anticipatory and mutual self defense zitatumika kukishakuwa na justification ya Iran kucommit the fact.Mpaka hapo Russia na China watakuwa sanasana wanatoa maneno tu lakini hawatajihusisha na kipigo cha Iran.
 
Back
Top Bottom