lumia21
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 271
- 243
Let be serious
Iran haiwez mpiga mmarekani lakin iran ina weza mumiza mmarekan na washirika wake..
Lakin sio kumshinda mmarekan kwenye vita
Mi naamin hawa wairan watakuwana silaha za nyukilia.. Ndio kinacho wapa kiburi
Wanajua mmarekan aki wa attack nao wata mrushia mabomu kwake na Saudi arabia
Ila in long run Iran ha stend a chance kwa Mmarekani
Kuhusu Urusi na China hawa ni wababaishaji.. Wanajua
Gharama za vita ndio maana hawataki jiingiza kwenye
Vita.. Watapiga porojo tu ila vita ikianza watakuwa mbali
Mmbabe ni Mjeruman siku akipata kiongoz kichwa maji dunian
Hakuta kuwa na amani
Vita ya kwanza na ya pili ya Dunia ni mjeruman, huyu ndio kichwa maji akiamua
Kufanya anafanya.....
Iran haiwez mpiga mmarekani lakin iran ina weza mumiza mmarekan na washirika wake..
Lakin sio kumshinda mmarekan kwenye vita
Mi naamin hawa wairan watakuwana silaha za nyukilia.. Ndio kinacho wapa kiburi
Wanajua mmarekan aki wa attack nao wata mrushia mabomu kwake na Saudi arabia
Ila in long run Iran ha stend a chance kwa Mmarekani
Kuhusu Urusi na China hawa ni wababaishaji.. Wanajua
Gharama za vita ndio maana hawataki jiingiza kwenye
Vita.. Watapiga porojo tu ila vita ikianza watakuwa mbali
Mmbabe ni Mjeruman siku akipata kiongoz kichwa maji dunian
Hakuta kuwa na amani
Vita ya kwanza na ya pili ya Dunia ni mjeruman, huyu ndio kichwa maji akiamua
Kufanya anafanya.....