Nedago
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 908
- 1,348
Mkuu unaota au?china na Russia combined hawafikii military bases za USA,ndege za kijeshi,ikiwa ni pamoja na bajeti ya jeshi na hata satellites za jeshi wameachwa mbali sana.Russia na China wame balance nguvu ya Marekani kijeshi na kiuchumi
Ukija kiuchumi ndio kabisa hapo ukijumlisha uchumi wa china na Russia bado hawafiki kwa USA,maana uchumi wa Russia tu umepitwa na Jimbo moja tu la USA California.
Mkuu karudie kusoma au kusikiliza ulipopatia hizo habari za uzushi,
World super power ni USA na si vinginevyo.