Mtumishi Mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 259
- 92
Kwa wale wadau wanaofutilia mchakato wa katiba mpya, leo Deus Kibamba amezindua kitabu cha mwongozo wa katiba kwa raia pale habari maelezo. Nakala zinapatikana bure kutoka policy forum pamoja na shirikani kwa Kibamba mwenyewe pale TCIB. Naomba kuwakilisha