Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Dada Cheusi;
Naona kama kwa level na umri uliofikia haustahili tena kusona vitabu au novel za kiswahili, waachie kindergatten na shule za Msingi.
Nakushauri badala yake usome novel za James Hardley Chase zipo nyingi mtaani zimezagaa, utapata satsfaction mara 10 zaidi ya kurudia kusoma hiyo novel ya kiswahili.
Kumbuka pia kuwa Musiba alikuwa anaiga utunzi wa Chase, ndiyo maana akaweza kutunga novel zilizoweza kukuvutia. Just imagine kusoma novel za yule aliyeigizwa na Musiba sijui itakuwaje. Try it out and you will tell me.
Umenikera sana na dharau zako....eti za kiswahili waachie chekechea....kwanini usifikiri hata za kina chase wanasoma chekechea wa kwao? Ina maana ukishalevywa na Chaseism basi vya nyumbani vya kuchambia eti?