Goodluck Mshana
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,271
- 1,119
Habarini wadau katika Elimu!
Naomba kuwasilisha kwenu kitabu kipya cha English Language 1 kwa vijana wetu wa Kidato cha tano na sita hasa kwa wenye michepuo ya sanaa (HKL na HGL).
Ni kitabu kipya kilichotungwa na mtunzi na mbobezi wa muda mrefu wa somo hilo la Kiingereza! Kitabu hiki kimezingatia matakwa ya silabasi/syllabus ya Tanzania ya mwaka 2010 inayotumika sasa. Kimejikita kwenye mada/topics 14 (kikikiwa na kurasa 400) ambazo zitamjenga na kumpa mwanafunzi confidence ya kufanya Mitihani yake ya ndani, nje na ya Kitaifa.
Karibu sana mzazi/mlezi/mwanafunzi uweze kujihakikishia ufaulu wa somo lake la English Language 1.
Kitabu kinauzwa Tsh. 30,000/- kwa nakala moja. Kwa wenye Bookshops na wanaotaka Uwakala ndani na nje ya Dar es Salaam mnakaribishwa sana! Tafadhali wasiliana nasi kupitia 0717935721 na kitabu kitakufikia ulipo!
Mr. Goodluck Mshana (Mwandishi)
0717935721
Naomba kuwasilisha kwenu kitabu kipya cha English Language 1 kwa vijana wetu wa Kidato cha tano na sita hasa kwa wenye michepuo ya sanaa (HKL na HGL).
Ni kitabu kipya kilichotungwa na mtunzi na mbobezi wa muda mrefu wa somo hilo la Kiingereza! Kitabu hiki kimezingatia matakwa ya silabasi/syllabus ya Tanzania ya mwaka 2010 inayotumika sasa. Kimejikita kwenye mada/topics 14 (kikikiwa na kurasa 400) ambazo zitamjenga na kumpa mwanafunzi confidence ya kufanya Mitihani yake ya ndani, nje na ya Kitaifa.
Karibu sana mzazi/mlezi/mwanafunzi uweze kujihakikishia ufaulu wa somo lake la English Language 1.
Kitabu kinauzwa Tsh. 30,000/- kwa nakala moja. Kwa wenye Bookshops na wanaotaka Uwakala ndani na nje ya Dar es Salaam mnakaribishwa sana! Tafadhali wasiliana nasi kupitia 0717935721 na kitabu kitakufikia ulipo!
Mr. Goodluck Mshana (Mwandishi)
0717935721