Hell2Heaven
Senior Member
- Mar 3, 2021
- 166
- 452
Ndugu wana JamiiForums
Nimeandika kitabu cha English na kimesha fanyiwa Editing na wataalamu wa Harvard University na Manhantan University .. ambao no Phd na Wasomi wa Linguistics. Kwa sasa kimekamilikia kila kitu. Kipo kwenye soft copy ila napelea Mtaji wa Kukiprint ili kifanyiwe Distribution kwenye Bookshops, library na Kusambazwa mashuleni.
Naombeni pia wa wenye idea ya jinsi ya kusambaza mikoni kwenye bookshops waniambie strategies zinakuwaje.
Naombeni kwa mwenye kujua investors wanao husika na Vitabu vya mashuleni mnipe mawazo. Kitabu hichi ni mahususi kwa Wanafunzi wa Olevel.. kwa maana ya Form 1 mpaka Form4.
Nimeandika kitabu cha English na kimesha fanyiwa Editing na wataalamu wa Harvard University na Manhantan University .. ambao no Phd na Wasomi wa Linguistics. Kwa sasa kimekamilikia kila kitu. Kipo kwenye soft copy ila napelea Mtaji wa Kukiprint ili kifanyiwe Distribution kwenye Bookshops, library na Kusambazwa mashuleni.
Naombeni pia wa wenye idea ya jinsi ya kusambaza mikoni kwenye bookshops waniambie strategies zinakuwaje.
Naombeni kwa mwenye kujua investors wanao husika na Vitabu vya mashuleni mnipe mawazo. Kitabu hichi ni mahususi kwa Wanafunzi wa Olevel.. kwa maana ya Form 1 mpaka Form4.