Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,675
- 1,754
Unamdai mtu pesa yako ulimkopesha mwezi umepita hajalipa anatoa tu ahadi cha ajabu anakuja tena kujieleza shida anataka umkope tena pesa.
Kumkoma Nyani GiradiUnamdai mtu pesa yako ulimkopesha mwezi umepita hajalipa anatoa tu ahadi cha ajabu anakuja tena kujieleza shida anataka umkope tena pesa.
Mkopeshe Tena ili umdai hela nyingiUnamdai mtu pesa yako ulimkopesha mwezi umepita hajalipa anatoa tu ahadi cha ajabu anakuja tena kujieleza shida anataka umkope tena pesa.
😅Mkopeshe Tena ili umdai hela nyingi
Hapana sio mpenzi wangu ni rafiki tuHili jukwaa ni sahihi? Enewei,ni mpenzi wako huyo mtu?
This time alitaka nimkopeshe 80k anunue bundle, hapo 300k ndo nlmkopesha na hajanipa ni mwezi sasa na zaidimaana yake yeye anauhitaji wa hela zaidi kuliko wewe. regardless ya sababu kama ni positive au negative
Katika maisha yakoKama unaweza kusamehe samehe halafu piga kimya kama anajitambua atajirudi akila buyu inakua umesamehe tena. Ni njia Bora ya kuwapunguza watu wasio sahihi katika circle ya watu wa karibu.
dharauUnamdai mtu pesa yako ulimkopesha mwezi umepita hajalipa anatoa tu ahadi cha ajabu anakuja tena kujieleza shida anataka umkope tena pesa.
Ni kweli upo sahihidharau
Kumsamehe siwezi naitaka sana hiyo pesaKama unaweza kusamehe samehe halafu piga kimya kama anajitambua atajirudi akila buyu inakua umesamehe tena. Ni njia Bora ya kuwapunguza watu wasio sahihi katika circle ya watu wa karibu.