Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,402
- 4,707
Wa kumwamba kwenye nyasi fupi 🤣🤣🤣, nimepita huko nimekata mbuga zote hukoSafina,Mwafrika,Upendo nk
Wa kumwamba kwenye nyasi fupi 🤣🤣🤣, nimepita huko nimekata mbuga zote hukoSafina,Mwafrika,Upendo nk
mWa kumwamba kwenye nyasi fupi 🤣🤣🤣, nimepita huko nimekata mbuga zote huko
Hakika mkuu😂😂Aloh joto mwanzo mwisho. Lkn ya iringa ukifika mafinga lazima utoe koti hata uwe baunsa
Hotel ilikuwa na wateja sana ilikufaje?Comfort haipo tena💔
Box 2 wa lini wewe. Nilikuwepo mitaa ya Luhira 1989 hadi 1992Enzi hizo tunasoma Songea Boyz tunakwea KISWELE COACH Stendi mnazi mmoja breki ya kwanza Comfort Hotel - Kitonga (Kula dakika 10 Tu) chuma inatambaa. Daah. Hakika miaka imeenda.
**Zamani raha sana
Ya Lindi ni mbali. Mimi nimepanda basi njia zote 2 na kuendesha private njia hizo zote. Ya Lindi ni mbali lakini unawahi kufika kwa sababu hakuna msongamano wa magari na hakuna milima mikubwa. Ya Iringa magari ni mengi na milimi mikubwa, kitonga na LukumburuNashangaa wadau hapo Juu wansema ya Lindi ina unafuu. Songea tu mpaka uitafute Lindi ni 500+km, uanze tena Lindi tu Dar..