KISWELE COACH (Dar-Songea)!

KISWELE COACH (Dar-Songea)!

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
28,007
Reaction score
39,194
Enzi hizo tunasoma Songea Boyz tunakwea KISWELE COACH Stendi mnazi mmoja breki ya kwanza Comfort Hotel - Kitonga (Kula dakika 10 Tu) chuma inatambaa. Daah. Hakika miaka imeenda.

**Zamani raha sana
 

Attachments

  • KISWELEcoach.jpg
    KISWELEcoach.jpg
    9.6 KB · Views: 15
  • kiswele.jpg
    kiswele.jpg
    11.3 KB · Views: 13
Enzi hizo tunasoma Songea Boyz tunakwea KISWELE COACH Stendi mnazi mmoja breki ya kwanza Comfort Hotel - Kitonga (Kula dakika 10 Tu) chuma inatambaa. Daah. Hakika miaka imeenda.

**Zamani raha sana
Ukishuka humo kwenye Kiswele..unatembea kwa miguu km 5..hakuna Boda..ukibahatika unaingia kwenye hii Mess Tin(Mustin)
Screenshot_20210223-084633~3.png
 
Duuh! Hatarii Sana. Mlifikaje sasa safari yenu baada ya basi kuungua
Tulikuwa na mke wa kiswelle kwenye basi, baada ya kadhia ile akatuma mtu aende Iringa mjini akakodi Basi sikumbuki ulikuwa Basi gani, tukaendelea na safari.
...Mimi Hadi viatu viliungulia kwenye basi...na nilikuwa nimekabidhiwa tu kwa konda.
 
Back
Top Bottom