CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Popoo mbili zavuka mto charminglady
macho!
kitendawili. . . . mwalimu kaanguka wanafunzi wanashangilia!!!!!
Last edited by a moderator:
Popoo mbili zavuka mto charminglady
watu8 said:Kitendawiliiiiiiiii.......
"Babu akojoapo hupiga kelele..."
Sio kufika M.sh.i.n.d.o kweli?
Haya nawe sikupi mji nakupa Gesti.
Nenda.. Staili Kali G. House,
haya leta jibu watu8..
Kitendawili........... kengele mbili zimeungana na fimbo
macho!
kitendawili. . . . mwalimu kaanguka wanafunzi wanashangilia!!!!!
Moshi naenda...
Jibu ni Makalio, hiki kitendawili kilikua famous sana utotoni...
Kitendawiliiiiiiiii.......
"Babu akojoapo hupiga kelele..."
Hahaha hiki nacho kilikua famous sana utotoni
JIBU ni MAVI na NZI
Sio kufika M.sh.i.n.d.o kweli?
Haya nawe sikupi mji nakupa Gesti.
Nenda.. Staili Kali G. House,
haya leta jibu watu8..
Sio kufika M.sh.i.n.d.o kweli?
Haya nawe sikupi mji nakupa Gesti.
Nenda.. Staili Kali G. House,
haya leta jibu watu8..
macho!
kitendawili. . . . mwalimu kaanguka wanafunzi wanashangilia!!!!!
kitendawili. . .
baba mmoja,mama mmoja, watoto weeeengi mpk hawahesabiki!
Kitendawiliiiiiiiii
"Zilitazamana na mpaka sasa hazijakutana"
jua na mwezi!
Kitendawiliiiiiiiii
"Zilitazamana na mpaka sasa hazijakutana"
watu8 said:Kitendawiliiiiiiiii
"Zilitazamana na mpaka sasa hazijakutana"
Matairi ya Gari bhana.
ila ni mtamu Madame B au sio........lol
Kitendawili........... kengele mbili zimeungana na fimbo