Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Kwa Washwahili wenzangu,
Kwa wale waliondoka tanzania kwa miaka ishirini iliyopita, wakirejea leo wanashindwa kufahamu watu wanazungumzia nini, wanashindwa kufahamu magazeti yanaandika nini. nikisea hivi nakusudia kuna mabadiiko makubwa ya maneno ya kiswhailli, Sisemeni kwamba lugha yote imebadilika lakini kuna fungu kubwa la uwozo ndani ya kiswahili kipya.
Kiswahili asili hasa kimetokea zanizbar, kwasabubu katika wanaozungumza kishwahili wote katika afrika mashariki nakati, wanzibari peke yao ndio wanaozunmumza kiswahili kama lugha yao ya kwanza.
nimeshindwa kujuwa ni nani masuuli wa uchafuzi wa kugha yetu tamu sana, lakini nimesikia kuna watu kutoka tanganyika wanaitwa wataalamu wa kiswahili na wao ndio wanaobadilisha maneno, eti wanatoa maneno ya kiarabu na kuweka ya kiafrika, lakini wafanyalo ni kwamba kila mmoja katika wao huingiza maneno kutoka kabila yake
nahisi kuna haja ya kuandikwa kamisi jipya la kiswahili kwa kiswahili na safari hii lindikwe na maprofesa wa lugha kutoka zanzibar.
Kwa wale waliondoka tanzania kwa miaka ishirini iliyopita, wakirejea leo wanashindwa kufahamu watu wanazungumzia nini, wanashindwa kufahamu magazeti yanaandika nini. nikisea hivi nakusudia kuna mabadiiko makubwa ya maneno ya kiswhailli, Sisemeni kwamba lugha yote imebadilika lakini kuna fungu kubwa la uwozo ndani ya kiswahili kipya.
Kiswahili asili hasa kimetokea zanizbar, kwasabubu katika wanaozungumza kishwahili wote katika afrika mashariki nakati, wanzibari peke yao ndio wanaozunmumza kiswahili kama lugha yao ya kwanza.
nimeshindwa kujuwa ni nani masuuli wa uchafuzi wa kugha yetu tamu sana, lakini nimesikia kuna watu kutoka tanganyika wanaitwa wataalamu wa kiswahili na wao ndio wanaobadilisha maneno, eti wanatoa maneno ya kiarabu na kuweka ya kiafrika, lakini wafanyalo ni kwamba kila mmoja katika wao huingiza maneno kutoka kabila yake
nahisi kuna haja ya kuandikwa kamisi jipya la kiswahili kwa kiswahili na safari hii lindikwe na maprofesa wa lugha kutoka zanzibar.