Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Wakuu,
Leo kesi namba 457 (inayohusu Kampuni za CUSNA Investment na Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi bandarini, kuchonga nyaraka kutorosha makontena na kunyanyasa wafanyakazi wa kitanzania) imeahirishwa katika Mahakama ya Mkazi, Kisutu jijini Dar kutokana na upande wa Jamhuri kutokuwa na shahidi.
Kesi hii imepigwa kalenda hadi Februari 15, 2018 kwa ajili ya kusikilizwa.
Tayari mashahidi watano(5) wameshasikilizwa katika kesi hii.
Kujua ilikotokea, soma: Kesi dhidi ya JamiiForums: Shahidi wa nne na tano wasikilizwa, ushahidi wa printout wakataliwa na mahakama!
Leo kesi namba 457 (inayohusu Kampuni za CUSNA Investment na Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi bandarini, kuchonga nyaraka kutorosha makontena na kunyanyasa wafanyakazi wa kitanzania) imeahirishwa katika Mahakama ya Mkazi, Kisutu jijini Dar kutokana na upande wa Jamhuri kutokuwa na shahidi.
Kesi hii imepigwa kalenda hadi Februari 15, 2018 kwa ajili ya kusikilizwa.
Tayari mashahidi watano(5) wameshasikilizwa katika kesi hii.
Kujua ilikotokea, soma: Kesi dhidi ya JamiiForums: Shahidi wa nne na tano wasikilizwa, ushahidi wa printout wakataliwa na mahakama!